Nicolas Jackson apasua ukweli Chelsea STAA wa Chelsea, Nicolas Jackson amemueleza kocha wa timu hiyo, Enzo Maresca anafikiria kujiunga na timu nyingine.
Infantino, Motsepe watua Kenya kushuhudia fainali ya CHAN 2024 Rais wa Shirikisho la Soka duniani (FIFA) Gianni Infantino akiambatana na Rais wa Shirirkisho la Soka Africa (CAF) Patrice Motsepe wamewasili Kenya kwaajili ya fainali ya CHAN 2024 kati ya...
Wasauzi wamwashia taa ya kijani Maema Simba MAMELODI Sundowns ya Afrika Kusini, imetangaza rasmi, kuondoka kwa kiungo mshambuliaji wa kikosi hicho, Neo Maema.
Yanga yacheza dakika 120, ikimpiga mtu 2-1 YANGA imecheza mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu dhidi ya Fountain Gate ikishinda kwa mabao 2-1.
Mkude aishtaki METL, ataka fidia Sh1 bilioni Mchezaji wa Klabu ya Yanga, Jonas Mkude amefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam akiidai Kampuni ya Mohamed Enterprises Tanzania Limited (METL) fidia ya Sh 1 bilioni kwa kutumia...
Inonga atemwa rasmi FAR Rabat Klabu ya FAR Rabat imemalizana na beki wake Henock Inonga 'Varane' baada ya msimu mmoja ndani ya timu hiyo.
Harry Kane mkosi tena MSHAMBULIAJI wa Bayern Munich, Harry Kane anakaribia kumaliza msimu akiwa na kombe lakini huenda asiwe uwanjani siku ambayo timu yake itapata taji.
Chiku wa Kombolela apata funzo MWIMBAJI wa muziki taarabu, Hanifa Maulid ‘Jike la Chui’ anayetamba katika tamthilia ya Kombolela kwa jina la Chiku, amesema amejifunza mengi baada ya kupata nafasi ya kuigiza.
Mataji ya Yanga yamchizisha Konde Boy STAA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Harmonize a.k.a Konde Boy, amefunguka kwamba ubingwa wa Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho iliyotwaa Yanga msimu huu vimempa furaha kubwa kwani, kulikuwa...
Kisa Karia, Manara ahojiwa Polisi, aachiwa OFISA Habari wa zamani wa Simba na Yanga, Haji Manara ameshtakiwa polisi na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia.