YANGA YANASA KIBERENGE KIPYA MABOSI wa Yanga, wajanja sana, baada ya kufahamu wazi kuwa msimu ujao hawatakuwa na winga wao teleza, Simon Msuva, anayejiandaa kwenda kucheza soka la kulipwa Morocco, fasta wameamua kufanya...
Mabadiliko Simba yala vichwa 15 SIMBA ipo katika harakati za kuboresha kikosi chake kuelekea kwenye mashindano ya kimataifa mwakani, lakini wimbi hilo limepita na vichwa 15 ambavyo vimepunguzwa ili kupisha nguvu mpya.
Taifa Star uso kwa uso Lesotho Tanzania 'Taifa Stars' itaanza harakati zake za kusaka kufuzu kwa fainali za Mataifa Afrika 2019, kesho Jumamosi kwa kuikabili Lesotho kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi saa 2:00 usiku.
Azam kama inamaanisha kweli, imchukue Maxime AZAM FC imenuia kuwa timu ya kawaida kuanzia msimu ujao wa mashindano. Mabingwa hao wa zamani wa Ligi Kuu wamechoshwa na ubabaishaji wa soka la Bongo na sasa wanataka kuwa timu ya kawaida.
Mwinyi, Aggrey watemwa Stars Beki wa Azam, Gadiel Michael na beki wa Prisons Nurdin Chona wameitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kinachoondoka leo kwenda Misri kuweka kambi ya siku nane
Serengeti Boys yasaka Sh167Mil kwa Niger Mbali ya kupata tiketi ya kushirki Kombe la Dunia kwa vijana wenye miaka 17, matokeo ya sare au ushindi kwa timu ya vijana ya Tanzania 'Serengeti Boys' dhidi ya Niger leo, timu hiyo itafanikiwa...
Mayanga aita 24, Stars safari ya 2019, Cameroon Kocha wa timu ya Taifa Stars, Salum Mayanga ameita kikosi cha wachezaji 24 kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya Afcon 2019.
Ngumi Taifa yaita 20 SHIRIKISHO la Ngumi Tanzania (BFT) limetangaza kikosi cha mabondia 20, watano kati yao wakiwa ni wawake kwa ajili ya kuunda timu ya taifa itakayojiandaa na michuano ya Afrika itakayofanyika kati...
Simba yajiandaa kwa penalti Simba SC imehitimisha kambi ya siku nne ya kujiandaa na mchezo nusu fainali Kombe la FA dhidi ya Azam FC kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Jicho la Mayanga limeweza kukusanya kundi zuri Stars HII ndio moja kati ya faida ya kuwa na kocha anayewajua kiundani wanasoka wa nchi hii. Kocha ambaye amekuwa akikutana na mikikimikiki ya wachezaji kwenye Ligi Kuu Bara na hata kwenye michezo ya...