Shikamkono afunguka kuhusu Mo Dewji ,achoshwa na visa vya Gaga na Kizota TAKRIBANI wiki nzima tulikuwa tunaangazia mazungumzo kati ya mfadhili, mratibu wa zamani wa Simba, Jabir Ally Shikamkono na mwandishi wetu MOHAMMED KUYUNGA.
Petit Sory aliupiga mwingi Guinea bongo ikazaa kituko MIONGONI mwa nchi za Afrika ambazo kiwango chake cha mchezo wa kandanda kimeanguka katika miaka ya karibuni ni Guinea.
Washiriki 12 Bingwa kuwania Toyota Crown HATIMAYE siku 90 za kumpata mshindi wa Bingwa msimu wa pili zimefikia ukingoni huku zawadi kubwa zaidi ikitangazwa mbele ya washiriki 12 ambao wamesalia katika jumba hilo. Zawadi hiyo...
Bocco mfungaji bora muda wote Ligi Kuu Bara Hilo lilikuwa bao la pili kwa Bocco msimu huu, lakini ni la 154 likimfanya awe Mfungaji Bora wa muda wote wa Ligi Kuu Bara akifunga mfululizo katika misimu 16 tofauti akiwa na timu za Azam FC na...
Benchikha ataka mbadala wa Chama fasta Mabosi wa Simba inaelezwa watakuwa na kikao cha kwanza cha kinidhamu na kiungo wao, Clatous Chama leo kwa njia ya mtandao, akiwa huko huko kwao Zambia, lakini upande wa pili kuna jipya kutoka kwa...
Kipa Azam: Kuna sehemu nimekosea KIPA wa Azam FC, David Kisu hakuitwa kwenye kikosi cha Taifa Stars na sasa hajawa chaguo la kwanza la Kocha George Lwandamina ambapo yeye amekiri kushuka kwa kiwango chake. Hiyo ndiyo sababu...
Shilton arudishwa Simba KOCHA wa zamani wa makipa wa Simba, Mohammed Mharami ‘Shilton’ amerudishwa Msimbazi kwa sasa akiunda benchi la ufundi la timu hiyo ambayo jana jioni ilikuwa uwanjani kumalizana na Nyasa Big...
KMC, Mtibwa hakuna mbabe Ligi kuu Tanzania Bara imeendelea leo kwa timu ya KMC kukaribisha Mtibwa Sugar katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Mtibwa ndio walitangulia kupata bao la uongozi dakika ya 55 kupitia...
Burudika na Cashout ya Parimatch Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch imeendelea kuwanufaisha wateja wake wote kwa kuwapa fursa zenye faida kubwa, ambapo kwa sasa watumiaji wake wataweza kuokoa kiasi cha fedha katika...
Yanga waitangulia Simba Airport KIKOSI cha Yanga kimetua jijini Dar es Salaam asubuhi ya leo Februari 14 kutokea jijini Mbeya baada ya kumaliza mchezo wao wa jana dhidi ya Mbeya City na kutoka sare ya bao 1-1. Yanga wamerudi...