Keyne Yamal ateka tena shoo! WAKATI mashabiki wa soka duniani wakimsifu nyota wa Hispania, Lamine Yamal, baada ya kuiongoza timu yake kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia kwa kuichapa Argentina bao 1-0, aliyekuwa gumzo zaidi...
‘Kariakoo Derby' kupigwa Oktoba 10 Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), leo Jumatatu, Julai 20, 2026 imetangaza ratiba ya Ligi Kuu ya NBC msimu ujao wa 2026/2027 ambayo inaonyesha mechi ya kwanza ya Watani wa Jadi, Simba na...
Simba, Yanga zamkosa Mhabeshi LICHA ya mkataba wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ethiopia, Senaf Wakuma, kumalizika mwishoni mwa Juni mwaka huu, inaonekana Simba Queens na Yanga Princess huenda zikashindwa kumpata nyota huyo...
Hispania bingwa wa dunia, Argentina ikiteseka Hispania imefanikiwa kubeba Kombe la Dunia mwaka 2026 baada ya kuivua ubingwa huo Argentina kwa ushindi wa bao 1-0.
Kiungo Yanga aibuka kwenye ndondo SAA chache baada ya kiungo mpya wa Yanga, Juma Issa Abushiri, kutambulisha juzi aliibukia kwenye mchezo wa ndondo kwenye mashindano ya Imbeju Ndondo Cup na timu yake ya Mzimuni FC kuchapwa bao...
Bukayo Saka afunguka, atupia hat-trick MSHAMBULIAJI Bukayo Saka ameibuka shujaa wa England baada ya kufunga mabao matatu na kuiongoza timu hiyo kutwaa medali ya shaba ya Kombe la Dunia kwa ushindi wa kusisimua wa mabao 6-4 dhidi ya...
Man City yakomaa kwa Ayyoub Bouaddi Manchester City imeongeza juhudi za kumwania kiungo chipukizi wa Lille, Ayyoub Bouaddi, kufuatia kiwango alichoonyesha katika msimu uliopita na Kombe la Dunia, kwa mujibu wa taarifa za talkSPORT.
Bellingham aweka rekodi mpya England KIUNGO Jude Bellingham ameandika historia kwa kuwa Mwingereza wa kwanza kufunga mabao saba katika Kombe la Dunia moja, baada ya kufunga bao la mwisho katika ushindi wa mabao 6-4 dhidi ya Ufaransa...
Mohamed Salah akaribia kutua Besiktas MWANDISHI maarufu wa masuala ya usajili, Fabrizio Romano, amethibitisha kuwa mazungumzo kati ya Mohamed Salah na klabu ya Besiktas yanaendelea, licha ya klabu hiyo kutoa taarifa ya kupinga...
Tuchel ajitetea kwa ushindi wa kihistoria KOCHA Thomas Tuchel anaweza kuhisi amewajibu wakosoaji wake. Ushindi wa mabao 6-4 dhidi ya Ufaransa katika mchezo wa kusaka nafasi ya tatu Kombe la Dunia umempa England nafasi yake bora zaidi...