Simba Utamu, Bocco Mtamu SIMBA mziki mnene. Chama hilo limezidi kung’ara katika mbio zake za kusaka ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya jana Jumapili kuishindilia Ruvu Shooting mabao 3-0
Sababu za Yanga kushindwa kuifunga Mwadui hizi hapa Kukosekana kwa mshambuliaji, Obrey Chirwa na kutokuwa fiti kwa Amissi Tambwe, kumechangia Yanga kushindwa kupata ushindi katika mchezo wa jana dhidi ya Mwadui FC kutoka Shinyanga.
JICHO LA MWEWE: euri ya akina Maguli itazidi kutupa jeuri SAHAU kuhusu matokeo ya Kilimanjaro Stars ya juzi Jumamosi pale Kenya kwa kuwa, tumejitakia.
Kikosi cha Zanzibar Heroes kinachoivaa Kilimanjaro Stars leo Kikosi cha Zanzibar Heroes kinachoivaa Kilimanjaro Stars leo
Zanzibar Heroes waenda Chalenji na basi Msafara wa Zanzibar Heroes wenye watu 34, wachezaji 24 na viongozi 10, wamendoka majira ya saa 3:00 asubuhi na boti ya Kilimanjaro kwenda Dar es Salaam.
Z’bar Heroes kuagwa leo Waziri wa Habari, Utalii, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Rashid Ali Juma leo anatarajiwa kuikabidhi bendera timu ya taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’ tayari kwa safari ya Kenya kwenye...
Straika mtata wa Mbao huyu hapa VITA ya Kiatu cha Dhahabu kwa msimu huu wa Ligi Kuu Bara inaendelea kuwatoa udenda nyota wa timu mbalimbali kwa kila mmoja kuhitaji tuzo hiyo.
Z’bar Heroes yaingia chimbo Timu hiyo ya visiwani inasaka taji lake la pili la Kombe la Chalenji mwaka huu
Zanzibar Heroes Chalenji mpaka kieleweke TIMU ya Taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes imeingia kambini kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya Cecafa Chalenji yanayotarajiwa kufanyika Desembe 3, mwaka huu nchini Kenya.