De La Fuente amzidi akili Scaloni BAADA ya nusu fainali mbili zilizojaa drama na burudani, wengi walitarajia fainali ya Kombe la Dunia 2026 iwe ya aina yake. Hata hivyo, mchezo huo haukufikia matarajio, lakini mwisho wa siku...
Hispania yaweka rekodi ya historia duniani HISPANIA imeendelea kuthibitisha ubabe wake kwenye soka la dunia baada ya kutwaa Kombe la Dunia 2026 kwa kuichapa Argentina bao 1-0 katika fainali iliyochezwa New Jersey, Marekani, na kuandika...
Gwiji wa England Kevin Keegan Afariki dunia akiwa na miaka 75 Soka la England na dunia limegubikwa na simanzi baada ya gwiji wa zamani wa Liverpool, Hamburg, Southampton na Newcastle United, Kevin Keegan, kufariki dunia akiwa na umri wa miaka 75 baada ya...
Gavi, Paredes wazua vurugu SHEREHE za Hispania baada ya kutwaa Kombe la Dunia 2026 ziligubikwa na sintofahamu kufuatia mzozo uliotokea mara tu baada ya filimbi ya mwisho, uliowahusisha kiungo wa Barcelona, Gavi, na nyota...
Rais Trump alivyoteka shoo na kuibua gumzo FAINALI ya Kombe la Dunia 2026 huenda isikumbukwe kwa ubora wa soka lililoonyeshwa uwanjani, bali kwa matukio makubwa yaliyoizunguka. Kuanzia Donald Trump, Tom Cruise, Madonna, Justin Bieber hadi...
Azam FC yawekeza mabilioni kujenga kikosi Msimu wa 2026/27 inatarajiwa kuanza katikati ya Agosti na timu kadhaa zimeshaanza maandalizi ya msimu mpya.
Shoo Madonna, Shakira, wawasha moto, Gaucho, Ronaldo bonge ‘Suprise’ Tamasha la mapumziko la fainali ya Kombe la Dunia 2026 limeandika historia baada ya kuwakutanisha mastaa wakubwa wa muziki duniani akiwemo Madonna, Shakira, Justin Bieber na BTS, huku magwiji wa...
Yamal akabidhiwa ufalme, Messi akiaga kwa machozi DAKIKA chache baada ya Hispania kutwaa Kombe la Dunia kwa kuichapa Argentina 1-0, tukio moja lilivuta hisia za mashabiki kuliko hata shangwe za ubingwa. Lamine Yamal alimkumbatia Lionel Messi...
Mbappe afunika, Hispania wafagia tuzo NAHODHA na mshambuliaji wa Ufaransa, Kylian Mbappe, ameweka rekodi mpya katika historia ya Kombe la Dunia baada ya kuwa mchezaji wa kwanza kushinda Kiatu cha Dhahabu mara mbili mfululizo, huku...