Guardiola anang’ata, anapuliza kuhusu kona PEP Guardiola amemwambia Arne Slot kwamba anapaswa kupambana na hali juu ya ongezeko la umuhimu wa mipira ya adhabu katika Ligi Kuu England huku akipiga kijembe Arsenal kwamba wamekuwa vinara wa...
Oscar ahofia maisha yake, astaafu soka INATOSHA. Ndiyo,, nyota wa zamani wa Chelsea Oscar dos Santos Emboaba Junior ‘Oscar’, ameamua kutundika daruga ili kunusuru maisha yake kutokana na maradhi yanayomsumbua.
Wellness Day ya CRDB yachochea kuimarisha afya MAZOEZI ya viungo, michezo na elimu ya afya vilitawala uzinduzi wa programu ya Wellness Day ya Benki ya CRDB, hatua inayolenga kuimarisha utimamu wa mwili na akili kwa wafanyakazi wake ili...
Barker ang’ara, Imoro aibuka mchezaji bora Ligi Kuu NBC Machi Kocha wa Simba SC, Steve Barker, amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi Machi wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/26 baada ya kuiongoza timu yake kupata matokeo chanya.
Mbio za Dola 150,000 zaanza rasmi Dar City ikianza maandalizi Timu ya mpira wa kikapu ya Dar City itaanza maandalizi ya kuziwinda Dola 150,000 (Sh388.2m) na ubingwa wa Afrika (BAL) Aprili 17.
Amad Diallo amkubali Michael Carrick, asema freshi tu KOCHA wa Manchester United, Michael Carrick ameendelea kuungwa mkono na wachezaji wa timu hiyo ambao wameendela kusisitiza wanahitaji apewe mkataba wa kudumu.
Joseph Jr: Haikuwa rahisi kufika Celta Vigo BAADA ya Mtanzania, Joseph Junior Michael Joseph kupata nafasi ya kusajiliwa Celta Vigo ya Hispania katika kikosi cha vijana chini ya miaka 19 (Juvenil B), amesema haikuwa rahisi kufika hapo.
Rooney ataka Salah apigwe benchi LEJENDI wa Manchester United, Wayne Rooney amesema winga wa Liverpool, Mohamed Salah inatakiwa akae benchi kwa sababu kwa sasa hana msaada katika timu hiyo.
KIKAO KIZITO! Mastaa Liverpool wateta, wamwondoa Arne Slot STAA wa Liverpool, Cody Gakpo amefichua kuwa wachezaji wa Liverpool walifanya kikao cha dharura cha kuchanana ukweli siku ya Jumapili ikiwa ni katika juhudi zao za kuhakikisha wanarudi katika...
Kocha Arsenal alia na ratiba EPL KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amekosoa ratiba ya Ligi Kuu England akidai inachangia sana katika majeraha ya wachezaji wa klabu ikiwamo Arsenal.