Arteta na mkakati wa Gyokeres Arsenal KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amewaambia wachezaji wake kwamba wanawajibika kuhakikisha straika Viktor Gyokeres anapata huduma bora ya kuonyesha makali yake.
Mbwana Samatta mdogo mdogo Ligue 1 NAHODHA wa timu ya taifa, Taifa Stars, Mbwana Samatta ameendelea kuizoea Ligi Kuu ya Ufaransa, baada ya usiku timu anayoichezea ya Le Havre kupata ushindi wa kwanza wa mabao 3-1 dhidi ya Nice.yo...
Sesko, Man United kuna kitu kinakuja NAFASI ya Manchester United kunasa saini ya straika Benjamin Sesko imezidi kuongezeka baada ya staa huyo mwenyewe kuvutiwa na mpango wa kwenda kukipiga kwenye kikosi cha miamba hiyo ya Old Trafford.
PRIME Mazembe vs Esperance ni bonge la mechi kwa Mkapa LEO ndani ya Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam kinawaka tena, wakati ambapo TP Mazembe watakuwa uwanjani kuvaana na Esperance ya Tunisia kwenye michuano mipya ya African Football League.
Namungo yawachunia makocha 10 wapya UONGOZI wa Namungo umesema licha ya kupokea maombi mengi ya makocha kutoka ndani na nje ya Tanzania kutaka kuinoa timu hiyo, lakini hautakurupuka haraka isipokuwa kwa sasa majukumu ya benchi la...
Mastaa Real Madrid hatarini kufungiwa HABARI ndo hiyo. Arsenal inaweza kupata mserereko kwenye mechi yake ijayo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya mastaa wanne wa Real Madrid kuwa kwenye hatari ya kufungiwa kucheza kipute hicho cha...
Guardiola afuta bonasi Man City KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola amesema mastaa wa kikosi hicho hawastahili kabisa kupewa bonasi msimu huu hata kama watakwenda kushinda ubingwa wa Kombe la Dunia la Klabu.ill Nicholson...
Mastaa Chelsea wamtibua Maresca KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amefuta mapumziko ya wachezaji wake baada ya kuonyesha kiwango kibovu kwenye mechi ya kimazoezi dhidi ya kikosi cha wachezaji wa U21 wa klabu hiyo.
Tatum anavyoingia katika orodha ya matajiri NBA MOJA kati ya majina mapya katika orodha ya nyota wa Ligi ya Kikapu ya Marekani (NBA) wenye namba kubwa ni Jayson Tatum.
Amorim kumpa nafasi Bukayo Saka mpya KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim ameripotiwa kwamba yupo kwenye mipango ya kumpa nafasi ya kucheza kinda wa kikosi hicho cha Old Trafford ambaye analinganishwa kiuchezaji na winga wa...