Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8782 results for Mwandishi :

  1. Fadlu atambulishwa Raja Club Athletic, Simba yamshukuru

    Klabu ya Raja Club Athletic imetangaza kufanya mabadiliko katika benchi lake la ufundi.

  2. Shughuli ya Carabao Cup kuendelea leo

    BAADA ya mechi za raundi ya tatu za michuano ya Kombe la Carabao kuanza wiki iliyopita, vigogo wawili wa timu sita kubwa za England zitashuka dimbani leo katika mechi za raundi hiyo zitakazopigwa...

    SHUGHULI Pict
  3. Ousmane Dembele atwaa tuzo ya Ballon d'Or 2025

    BAADA ya maswali ya muda mrefu juu ya nani atashinda tuzo ya Ballon d'Or mwaka huu, hatimaye majibu yamepatikana na staa wa Paris Saint-Germain, Ousmane Dembele ameshinda tuzo hiyo.

  4. Didier Deschamps afunguka ishu ya Mbappe

    Kocha wa timu ya taifa ya Ufaransa, Didier Deschamps, amesema alikuwa na mpango wa kumbadilisha Kylian Mbappé mapema kabla ya kupata maumivu ya kifundo cha mguu yaliyopelekea kurejea Real Madrid...

    MBAPPE Pict
  5. Julian Nagelsmann aomba radhi, afafanua kauli yake dhidi ya Ireland Kaskazini

    Kocha wa timu ya taifa ya Ujerumani, Julian Nagelsmann, amesema hakuwa na nia ya kuidhalilisha timu ya Ireland Kaskazini, huku akiomba radhi iwapo kauli zake kuhusu mtindo wao wa uchezaji...

    NAGELSMANN Pict
  6. Kocha wa Rugby Ubelgiji afia mashindanoni Kenya

    Kocha wa timu ya taifa ya wanawake ya Ubelgiji ya Rugby Sevens, Warren Abrahams, amefariki dunia wakati wa mashindano ya Safari Sevens yaliyofanyika jijini Nairobi, Kenya, siku ya Ijumaa Oktoba...

    RUGBY Pict
  7. Arsenal yapigwa faini kisa gemu ya Man United

    ARSENAL imekumbana na adhabu ya kupigwa faini ya Pauni 500,000 baada ya kuvunja kanuni ya Kombe la FA katika mechi yao dhidi ya Manchester United, Januari mwaka huu.

  8. Morocco kuwa mwenyeji mechi za mchujo Kombe la Dunia 2026

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeitaja nchi ya Morocco kuwa mwenyeji wa mashindano ya mchujo ya Afrika yatakayozihusisha timu nne kwa ajili ya kuwania nafasi ya ziada kwenye fainali...

    MOROCCO Pict
  9. Ferran Torres kuikosa Bulgaria kesho

    Kiungo mshambuliaji wa Barcelona, Ferran Torres amelazimika kuondoka kwenye kambi ya timu ya taifa ya Hispania, baada ya kubainika hataweza kucheza mechi ya kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Bulgaria.

    TORRES Pict
  10. Scholes: Kiwango cha Salah kimeporomoka, anacheza kawaida sana

    Gwiji wa Manchester United, Paul Scholes, ametoa maoni yake kuhusu nyota wa Liverpool, Mohamed Salah, akieleza licha ya kuwa mchezaji wa kiwango cha juu, wakati mwingine anacheza kawaida sana.

    SALAH Pict
Previous

Page 312 of 879

Next