Wikiendi ya ngumi: Fury, Joshua kukiwasha MABONDIA wenye hadhi ya juu duniani wataingia ulingoni leo na kesho kwa Tyson Fury, Anthony Joshua, Tim Tszyu na Errol Spence Jr watashuka ulingoni katika mapambano yanayosubiriwa kwa hamu.
USAJILI: Siri ya dili za Pauni 100 milioni MIAKA 34 iliyopita, usajili wa pauni milioni 13 ulimtikisa kila mtu nchini Italia.
Kajuna azikwa Dar, aacha pengo Simba ALIYEKUWA Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya Simba, Idd Kajuna, amezikwa jioni ya leo Julai 23, 2026 katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam, huku wadau mbalimbali wa soka na...
Marekani kuwania uenyeji wa Kombe la Dunia 2038 MAREKANI inaweza kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia 2038, licha ya kuwa imehitimisha hivi karibuni kuandaa mashindano ya mwaka 2026 kwa ushirikiano na Canada na Mexico.
Bellingham, Vozinha wastua Kikosi cha Dunia KIUNGO wa Real Madrid, Jude Bellingham, ndiye mchezaji pekee wa England aliyejumuishwa katika Kikosi Bora cha Kombe la Dunia 2026, kilichotangazwa na FIFA baada ya kumalizika kwa mashindano hayo.
Kisa Fiorentina asimamisha mazoezi Wolves MSHAMBUALIAJI wa Wolves, Tolu Arokodare alisababisha mazoezi ya timu hiyo kusitishwa baada ya kugoma kuondoka uwanjani huku akishinikiza kuhamia Fiorentina.
IFFHS yamfuta machozi Messi LICHA ya Argentina kupoteza katika fainali ya Kombe la Dunia 2026 dhidi ya Hispania na kiungo Rodri kutwaa tuzo rasmi ya Mchezaji Bora 'Golden Ball ya FIFA', Shirikisho la Kimataifa la Historia...
FBI yachunguza simu ya Rais wa Argentina RAIS wa Shirikisho la Soka Argentina (AFA), Claudio "Chiqui" Tapia, anadaiwa kushikiliwa kwa muda na maafisa wa FBI kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JFK, New York, muda mfupi kabla ya...