Saba wajinyakulia zawadi kampeni ya MIXX Kombe la Dunia WAKATI hamasa ya michuano ya Kombe la Dunia ikiendelea kushika kasi huku mataifa mbalimbali yakitangaza vikosi vyao vya mwisho neema imeendelea kuwa upande wa wadau na mashabiki wa soka nchini.
Kaze, Ben Youssef waagwa Kaizer Chiefs KLABU ya Kaizer Chiefs, imethibitisha kuondoka kwa makocha Khalil Ben Youssef na Cedric Kaze baada ya mikataba yao kumalizika mwishoni mwa msimu wa 2025-2026.
Nahodha Crystal Palace apania ubingwa UEFA Conference League Nahodha na kipa wa Crystal Palace, Dean Henderson, amewataka wachezaji wenzake kupambana kupata ushindi wakati timu hiyo itakaposhuka dimbani kucheza mechi ya fainali ya Conference League kesho...
Lionel Messi ashusha presha Kombe la Dunia 2026 Kambi ya timu ya taifa ya Argentina imepata habari njema baada ya kubainika kuwa jeraha la nahodha Lionel Messi siyo kubwa kama ilivyohofiwa.
Risasi yaanza vizuri ligi ya kikapu Shinyanga RISASI imeendeleza ubabe wake kwa Kahama Sixers baada ya kuifunga pointi 87-60, katika Ligi ya kikapu ya Mkoa wa Shinyanga, kwenye Uwanja wa Risasi.
JKT yazinduka BDL JKT imezinduka katika Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (BDL), baada ya kuifunga Veins BC kwa pointi 57-56 kwenye Uwanja wa Donbosco, Upanga.
Baada ya kichapo, Reel Dream yarudisha mzuka BAADA ya Reel Dream kuifunga Ukonga Queens kwa pointi 70-54, katika Ligi ya kikapu Dar es Salaam (WBDL), nyota wa timu hiyo Maria Boniventura amesema ushindi wao huo umerejesha morali kwa...
Jesca anaendelea alipoishia WBDL NYOTA wa JKT Stars, Jesca Ngisaise ameendelea kudhihirisha ubora wake wa kutupia, baada ya kufunga pointi 94 katika mechi mbili za Ligi ya kikapu Dar es Salaam kwa Wanawake (WBDL).
Tottenham yaongeza nguvu kuisaka saini ya Savinho TOTTENHAM Hotspur wamefufua tena nia yao ya kumsajili winga wa Manchester City na Brazil, Savio Moreira de Oliveira maarufu Savinho, 22, katika dili linaloweza kufikia Pauni 60 milioni, baada ya...
Olise azua mjadala kuhusu Ronaldo Winga wa Bayern Munich na Ufaransa, Michael Olise ameibua mjadala baada ya kumtaja Bruno Fernandes kuwa mchezaji bora wa sasa kutoka Ureno badala ya Cristiano Ronaldo.