Mavugo akamua mbaya mazoezini Simba KAMA kuna watu wanambeza Laudit Mavugo, basi imekula kwao, kwani straika huyo Mrundi kwa tizi alilokuwa akilipiga kwenye mazoezini ya timu hiyo kujiandaa na mchezo wao wa Jumapili, linaonyesha...
Linah aapa kuanika picha akipata ujauzito mwingine MWANAMUZIKI ambaye kwa sasa ni mama wa mtoto mmoja, amewapiga dongo waliokuwa wakimfuatafuata kipindi alipokuwa na ujauzito hasa kutokana na picha alizopiga kwa kipindi hicho.
Dogo Janja utamponza Young Dee akamatwe BAADA ya Young Dee kusema kuwa yeye sio wa kufananishwa na Dogo Janja na Young Killer na kutaka waandishi wote wasimfananishe na wasanii hao, Dogo Janja amekuja juu kwa kujibu kauli hiyo huku...
Ishu ya Zari, Diamond yatikisa hadi Wazambia UNAMJUA staa wa Zambia, Stoppila Sunzu? Basi bwana staa huyo amekuwa akifuatilia sakata la msanii wa Bongofleva, Diamond na Zari na hamu yake kubwa ni kujua kama wazazi hao wametemana au...
Nani kasema Nsajigwa hajui ‘umombo’? Utapotea WATU wana makusudi acha, unajua kilichomtokea Kocha msaidizi wa Yanga, Shadrack Nsajigwa baada ya mchezo wao na Welaitta Dicha ya Ethiopia?
Koulibaly ngoma bado ngumu Man United OFA nzito ya Pauni 95 milioni kutoka Manchester United kwa ajili ya kutaka kumsajili beki wa Napoli, Kalidou Koulibaly, imekataliwa.
Fifa yamuongezea kibano Kwesi Nyantakyi Nyantakyi alilazimika kujiuzulu wadhifa wote wa kisoka kuanzia uongozi wa GFA pamoja na ule wa Caf na Fifa, kutokana na kuibuliwa kwa madai ya kashfa ya rushwa na ufisadi dhidi yake.
Siro, baba wa Mo wazungumza Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Simon Siro aliliambia Mwanspoti jana kuwa, polisi bado wanaendelea na upelelezi wa tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohammed Dewji, huku akiahidi kutoa...
Achraf Hakimi aagizwa kujitokeza mahakamani kwa tuhuma za ubakaji Mlinzi wa Saint-Germain",Achraf Hakimi ameiagizwa kujitokeza mahakamani kutokana na tuhuma za kumnyanyasa mwanamke aliyekutana naye kupitia Instagram.
Jose Chameleone kuliamsha zilipendwa MWIMBAJI mkongwe wa Uganda, Jose Chameleone amethibitishwa rasmi kwamba atakuwa miongoni mwa vinara wa tamasha linalosubiriwa kwa hamu la kukumbushia ngoma za zamani la ‘A Nite In The 90s’...