Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8779 results for Mwandishi :

  1. Liverpool yaonyesha uungwana kwa familia ya Jota

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amethibitisha kuwa timu yake imeilipa famila ya Diogo Jota kiasi chote cha mshahara na bonasi za mkataba, ambazo alitakiwa kukipata.

    UUNGWANA Pict
  2. Kane awapiga bao Ronaldo, Haaland

    MSHAMBULIAJI wa Bayern Munich, Harry Kane ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufunga mabao 100+ ndani ya mechi chache zaidi akiwa na klabu ya Ligi tano bora barani Ulaya.

  3. Gazza asimulia alivyorudi duniani kutoka kuzimu

    GWIJI wa soka nchini England, Paul John Gascoigne maarufu Gazza, amefichua alivyorudi duniani kutoka kuzimu baada ya kufa akiwa kwenye kitanda cha upasuaji alipokuwa katika koma ya muda ya siku 18.

    GAZA Pict
  4. Arteta amwagia sifa Leandro Trossard, aisubiri Atletico Madrid

    Kocha mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta amempongeza Leandro Trossard kwa kitendo cha kuisaidia timu hiyo kuibuka na ushindi muhimu dhidi ya Fulham, kwenye mechi ya jana Jumamosi, Oktoba 19, 2025.

    ARTETA Pict
  5. Michael Owen: Sina shaka na Mo Salah, Isak

    STAA wa zamani wa Ligi Kuu England, Michael Owen anaamini masupastaa Mohamed Salah na Alexander Isak watatiki na kufanya vizuri Liverpool, licha ya chama lao Liverpool kucheza chini ya kiwango.

    OWE 02
  6. Arrigo Sacchi amtaka Zidane atue Juventus

    KOCHA wa zamani wa AC Milan, Arrigo Sacchi amefunguka kwamba anapenda kumwona Zinedine Zidane anarejea Juventus.

    ARRIGO Pict
  7. Roman Folz aletewa msaidizi, aanza kazi

    Klabu ya Yanga, imemtangaza Patrick Mabedi raia wa Malawi kuwa kocha msaidizi wa kikosi hicho kinachoongozwa na Mjerumani, Romain Folz.

  8. Shabiki Black Stars amtumia salamu Donald Trump

    Shabiki mmoja wa soka kutoka Ghana, anayejulikana kwa jina la Obour, amezua hisia mitandaoni kufuatia hotuba yake ya kujiamini iliyopeleka ujumbe wa moja kwa moja kwa Rais wa Marekani, Donald...

    SHABIKI Pict
  9. Kylian Mbappe amsononesha mama yake

    MAMA wa mchezaji supastaa, Mbappe amesema mwanaye huyo ambaye ni mchezaji wa Real Madrid “hana maisha” nje ya mchezo wa soka kwa sababu hapati muda wa kuanzisha uhusiano.

    MBAPPE Pict
  10. Van Dijk: Hali haikuwa nzuri Liverpool, niliitisha kikao cha wachezaji

    Imefahamika kuwa, beki na nahodha wa Liverpool, Virgil Van Dijk, aliitisha mkutano wa wazi wa wachezaji wenzake, ili kuzungumzia masuala mbalimbali ya timu hiyo, ambayo ilipitia changamoto za...

    VAN Pict
Previous

Page 309 of 878

Next