Ligi ya Mabingwa Ulaya, London imenoga Ni siku ya kawaida pale London, mishale ya saa inasoma saa 2:00 usiku. Afrika Mashariki mshale wa saa unasoma saa 5:00 usiku. Ni kivumbi cha Ligi ya Mabingwa Ulaya, Chelsea itakuwa mwenyeji wa...
Marc Guehi azisubirisha Real Madrid, Liverpool na Barcelona INAELEZWA beki kisiki wa Crystal Palace, Marc Guehi mwenye umri wa miaka, 25, yupo tayari kusubiri hadi mwisho wa msimu huu ili kufanya uamuzi wa wapi atakwenda baada ya kumalizika kwa mkataba wake.
Fainali za Afrika 2025 zamtisha Amorim KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim anafikiria kuomba kucheleweshwa kwa safari ya mastaa wake watakaoshiriki Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (Afcon), kutokana na ratiba ya mechi zijazo.
Vita ya ubingwa yaendelea EPL, Arsenal yatajwa MAMBO yanazidi kunoga England. Hadi sasa Arsenal ndio inaonekana kupewa nafasi kubwa ya kushinda taji la ligi hiyo kutokana na mwendelezo wa matokeo mazuri ambao imekuwa ikiyapata tangu kuanza...
Amitabh, Shah Rukh Khan wamlilia Dharmendra SAA chache baada ya mwigizaji mkongwe wa filamu, Dharmendra, kufariki dunia nyumbani kwake leo Jumatatu, Novemba 24, ikithibitishwa na Shirika la Habari la IANS, rafiki yake wa muda mrefu na...
Shearer aiponda beki Man City GWIJI wa zamani wa Newcastle United, Alan Shearer ameionya beki ya Manchester City inaweza ikaharibu matumaini ya miamba hiyo kutwaa taji la Ligi Kuu England.
Simulizi la Dharmendra na ndoa ya wake wawili GWIJI wa filamu za kidosi amedondoka. Ndiyo, Dharmendra aliiaga dunia jana asubuhi, huku akiacha kilio kwa familia, ndugu jamaa na mashabiki wa filamu waliozishuhudia kazi zake kuanzia miaka ya...
Kocha Liverpool agomea tuzo KIPIGO cha mabao 3-0 ilichopata Liverpool kutoka kwa Nottingham Forest mechi ya Ligi Kuu England, Jumamosi iliyopita, kimemvuruga kocha wa majogoo hao, Andre Slot na kuzisusia tuzo zilizokuwa...
Ronaldo aonyesha ubora: ‘Bicycle Kick’ yaleta ushindi wa 4–1 kwa Al-Nassr Mshambuliaji mkongwe Cristiano Ronaldo ameendelea kudhihirisha kuwa bado ana ubora wa hali ya juu baada ya kufunga bao maridadi la ‘Bicycle Kick’ katika ushindi wa 4–1 wa Al-Nassr dhidi ya...