Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

688 results for Victoria Melkiad :

  1. PRIME Mkali wa asisti Simba amfurahisha Fadlu Davids

    KIUNGO mshambuliaji wa Simba anayeongoza kwa asisti kwa sasa katika Ligi Kuu Bara, Jean Charles Ahoua amerejea tena uwanjani akiwa fiti kwa asilimia 100 tayari kuivaa Al Ahli Tripoli ya Libya...

  2. PRIME Nabi atoa sababu kuikataa Azam FC

    AZAM FC imemtangaza Rachid Taoussi kuwa kocha mkuu kwa mkataba wa mwaka mmoja kuchukua nafasi ya Youssouf Dabo, lakini kabla ya kutua kwa Mmorocco huyo, ilidaiwa klabu hiyo ilikuwa ikimwinda...

  3. Yao aishusha presha Yanga

    YANGA inaendelea kujifua Dar es Salaam ikijiandaa na mchezo wa kwanza wa raundi ya pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya CBE SA ya Ethiopia utakaopigwa Jumamosi ijayo jijini Addis Ababa, huku...

  4. Yohana: Kwa tizi, Dube ni msumbufu balaa

    WENGI wanajiuliza mshambuliaji wa Yanga, Prince Dube, amewezaje kuendelea kuwa bora licha ya kukaa nje ya uwanja kwa takriban miezi sita bila kucheza wakati akipambana kuachana na Azam FC.

  5. Djuma Shaban atimkia Ufaransa

    BEKI wa zamani wa Yanga, Djuma Shaban anayekipiga Namungo kwa sasa, ametimka nchini kwenda Ufaransa, huku akifunguka kilichofanya aende huko akiwa amepewa muda wa wiki moja kabla ya kurejea...

    Djuma Pict
  6. Majina mawili mezani makocha Coastal Union

    WAKATI Coastal Union ikiendelea na mchakato wa kusaka kocha mpya mezani kwa mabosi wa kikosi hicho kuna majina mawili ambapo kama yaatapita basi kuna uwezekano wakawa ni kocha mkuu na msaidizi wake.

    Coastal Pict
  7. Freddy arudi ghafla, ajifua na mastaa wa Yanga

    BAADA ya kusepa Simba, mshambuliaji Freddy Kouablan amerejea nchini kimya kimya, lakini akashtua kujifua na mastaa wa Yanga.

    Fred Pict
  8. 14 wampasua kichwa Gamondi

    LIGI Kuu Bara imesimama kwa wiki mbili kupisha kalenda ya Fifa kwa mechi za kimataifa za timu za taifa, huku kocha mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi kwa sasa akifunga na kuomba ili mastaa 14 wa timu...

  9. PRIME Fadlu: Leonel Ateba gari limewaka

    KAMA ulikuwa unajiuliza maswali kuhusu kutokuonekana uwanjani kwa mshambuliaji mpya wa Simba Leonel Ateba basi majibu yamepatikana,baada ya kocha wake Fadlu Davids kusisitiza kuwa alikuwa jikoni...

  10. DENZEL: Kiba kanikutanisha na Jakaya Kikwete

    ILIPOISHIA, jana katika mahojiano maalumu na mkufunzi wa mazoezi ya viungo katika gym, Godfrey Mkinga maarufu kanma Denzel Trainer alizungumzia namna alivyowarejeshea kasi uwanjani mastaa wa...

Previous

Page 31 of 69

Next