Arteta: Majeruhi? Wote wapo fiti KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amewaahidi mashabiki wa timu hiyo kwamba atamaliza tatizo la majeruhi kabla ya msimu kuanza.
TFF yafungia viwanja vitatu kwa kutokidhi vigezo Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kufungia viwanja vitatu kutumika kwa michezo ya ligi kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na kisheria vinavyotakiwa kutumika kwa Ligi Kuu.
NYEPESI NYEPESI ZA DABI: Simba mvua, Yanga Jumamosi SIJUI ni maendeleo au kitu gani, lakini unaambiwa miaka kadhaa ya nyuma kulikuwa na imani flani zilizokuwa zikiwafanya mashabiki wa Simba na Yanga kubashiri matokeo ya mechi za Dabi ya Kariakoo...
Yammy achekelea usupastaa kumlipa MWIMBAJI wa kwanza aliyesainiwa Lebo ya The African Princess ya Nandy, mwanadada Yammy amekiri hakuna anajua kama uhusiano wa krafiki na watu maarufu unalipa hadi baada ya kushangazwa kupata...
Simba yamtambulisha SpiderMan KLABU ya Simba imemtambulisha kipa mpya, Moussa Camara 'Spider' kwa mkataba wa miaka miwili akitokea AC Horoya ya Guinea.
Tanzania Prisons, Mashujaa hakuna mbabe Maafande wa Tanzania Prisons wameambulia pointi nyingine ya ugenini, wakilazimisha suluhu dhidi ya Mashujaa katika mchezo wa raundi ya pili wa Ligi Kuu Bara, uliochezwa Uwanja wa Lake Tanganyika,...
Anguti Luis atua Coastal Union, kukiwasha Kagame Cup Beki Anguti Luis atakuwa sehemu ya kikosi cha Coastal Union msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na Michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika.
Manchester United yadaiwa kumnasa Kalidou Koulibaly MANCHESTER United imedaiwa kukamilisha dili la kumsajili beki wa kati wa Napoli, Kalidou Koulibaly kwa mkwanja unaozidi Pauni 60 milioni.
Heh! Matonya ameanza kufulia kweli SIRI imefichuka kwamba Matonya ameuza nyumba yake ya jijini Tanga, lakini amewaambia marafiki zake wa karibu kwamba amefanya hivyo ili mambo yaende sawa kimaisha na siku si nyingi ataibukia...
Bomu la Shaa likilipuka mtapoteana HUTAMSIKIA Shaa kwa muda mfupi lakini akiibua bomu lake atakalolipua mtapoteana. Binti huyo mwenye mvuto Bongo yupo mafichoni akifanya mambo ya ukweli na akisoma nyendo za wapinzani wake akaibuka...