Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7829 results for Mwandishi Wetu :

  1. Ngoy apiga tatu, Nduwumwe amfikia Fei Toto

    Mshambuliaji nyota wa Namungo FC, Mkongomani Fabrice Ngoy akifunga Hat Trick ya tatu katika Ligi Kuu Bara msimu huu, baada ya kuifungia timu hiyo mabao matatu kwenye ushindi wa 3-2, dhidi ya KMC FC.

  2. Jonas Adjetey; Fundi wa kupaka rangi aliyemzuia Harry Kane Kombe la Dunia

    FAINALI za Kombe la Dunia 2026 zimeendelea kutoa simulizi nyingi za kusisimua, matokeo ya kushangaza na hadithi za kuvutia, lakini simulizi ya Jonas Adjetey ni miongoni mwa zile zinazogusa zaidi...

  3. “Cristiano hana nafasi kwenye meza moja na Maradona, Pele na Messi”

    Mjadala kuhusu nani ni mchezaji bora zaidi kati ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo umeendelea kuwagawa mashabiki wa soka duniani kwa zaidi ya miaka 15.

  4. PRIME Dakika 270 za mnyukano Ligi Kuu

    MSIMU wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2025-2026 unaelekea ukingoni huku zikibaki raundi tatu pekee, sawa na dakika 270 za uamuzi mgumu kwa kila timu, kabla ya pazia kufungwa rasmi.

  5. Uwanja mpya Man United usipime

    Manchester United wamepiga hatua muhimu katika mpango wao wa kujenga uwanja mpya wa kisasa wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 100,000 baada ya kupata ekari 25 za ardhi katika eneo la Trafford Park.

  6. Man City, Maresca ni suala la muda

    Manchester City wanakaribia kumteua aliyekuwa kocha wa Chelsea, Enzo Maresca, kuwa meneja wao mpya kwa mkataba wa miaka mitatu baada ya kufikia makubaliano ya fidia na Chelsea.

  7. Messi, Mbappe, Haaland wanakabika hivi

    KOMBE la Dunia huwa la kuvutia zaidi pale mastaa wakubwa wanapoonyesha uwezo wao, washambuliaji wanne bora duniani walionyesho ubora wao katika mashindano hayo.

  8. Kocha Ufaransa afiwa, kuondoka kambini kwa muda

    Kambi ya timu ya Taifa ya Ufaransa imepata pigo baada ya kocha wake mkuu Didier Deschamps kufiwa na mama yake mzazi Marie Borda.

  9. Dembele kuikwepa laana ya Ballon d’Or kombe la dunia?

    MSHAMBULIAJI Ousmane Dembele anatazamwa kama ataweza kuvunja mwiko wa kile kinachoitwa ‘laana ya Ballon d’Or’ ya miaka 70, ambayo hata mastaa kama Lionel Messi na Cristiano Ronaldo walishindwa...

  10. Liverpool yakataa ofa ya Inter Milan

    Liverpool imekataa ofa ya maneno yenye thamani ya euro25 milioni 25 kutoka Inter Milan kwa ajili ya kiungo Curtis Jones.

Previous

Page 4 of 783

Next