SUAREZ: Mpira unaisha, pesa zinaongezeka ALFAJIRI ya Jumapili, macho ya mashabiki wa soka duniani yalikuwa Florida Miami wakitazama mchezo wa ufunguzi wa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu kati ya Al Ahly na Inter Miami uliopigwa...
Bayern Munich kuibania Arsenal kwa Sesko BAYERN Munich inaripotiwa kuwa na nia ya kumsajili Benjamin Sesko kama mrithi wa muda mrefu wa Harry Kane.
Kisa Gyokeres Man United yamgeukia huyu MANCHESTER United wameonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa Eintracht Frankfurt, Hugo Ekitike, baada ya kufahamishwa Viktor Gyokeres anatamani zaidi kujiunga na Arsenal.
Nico Williams anukia Barca, Lamine atajwa STAA wa Athletic Bilbao, Nico Williams anaonekana kuwa njiani kuondoka katika timu hiyo dirisha lijalo la majira ya kiangazi na timu kibao zinahitaji huduma yake ikiwemo Barcelona.
Kombe la Dunia la Klabu moto wazidi kuwashwa USIKU wa leo, kuanzia saa sita wakati siku inabadilika na kuwa Juni 17, Kombe la Dunia la Klabu litaendelea kwa michezo minne ya hatua ya makundi.
PRIME Miloud Hamdi: Sasa Simba waje tu YANGA kazi imerudi, kwani kama unakumbuka kocha wa timu hiyo, Miloud Hamdi alitamka hana ratiba na mchezo wa dabi dhidi ya Simba, lakini sasa amefungua faili la mechi hiyo, akisema ameshajulishwa...
PRIME Simba kuja na sapraizi juni 25 HAKUNA ubishi huko mtaani na mtandaoni mashabiki na wapenzi wa Simba bado hawana furaha kutokana na kitendo cha Dabi ya Kariakoo kuahirishwa kutoka jana Jumapili hadi Juni 25, lakini kuna kitu...
Arsenal yakomaa kwa Viktor Gyokeres, Atletico yajitosa ARSENAL inajiandaa kurejea na ofa nyingine kwa mshambuliaji wa Sporting Lisbon na timu ya taifa ya Sweden, Viktor Gyokeres, mwenye umri wa miaka 27, dirisha lijalo.
Liverpool yamgeukia Anthony Gordon LIVERPOOL inaangalia uwezekano wa kufanya dili la Pauni 100 milioni la kumsajili nyota wa Newcastle, Anthony Gordon.
Mgogoro Israel, Iran waua ndugu wa mshambuliaji Inter Milan STAA wa Inter Milan na timu ya taifa ya Iran, Mehdi Taremi ameshindwa kuungana na timu yake kwa kukosa usafiri wa kwenda Marekani kutokana na mgogoro unaoendelea baina ya nchi yao na Israel.