Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8777 results for Mwandishi :

  1. Mnigeria apanga kujiondoa Wolverhampton Wanderers

    NYOTA wa kimataifa wa Nigeria, Tolu Arokodare anatarajia kuondoka Wolverhampton Wanderers dirisha lijalo la usajili kufuatia ugomvi uliotokea ndani ya chumba cha kubadilishia nguo.

    MNIGERIA Pict
  2. Shakhtar kupoteza mamilioni sakata la dawa haramu la Mudryk

    KLABU ya Shakhtar Donetsk inatarajiwa kupoteza kiasi cha Pauni 26 milioni kutokana na sakata la matumizi ya dawa haramu michezoni linalomkabili mchezaji wao wa zamani, Mykhailo Mudryk ambaye kwa...

  3. Mabadiliko Man United, Michael Carrick akipewa ‘rungu’ 

    BAADA ya matokeo ya suluhu mwishoni mwa wiki iliyopita dhidi ya Sunderland, Manchester United sasa imehamishia nguvu zake zote kwenye maandalizi ya msimu ujao. Huku timu hiyo ikiwa...

    MAN UTD Pict
  4. Casemiro ‘amtolea uvivu’ Jamie Carragher

    NYOTA wa Manchester United, Casemiro, amemchana mchambuzi wa soka Jamie Carragher kwa kauli yake ya dharau aliyoitoa mwaka 2024 alipomwambia kuwa astaafu kwa sababu kiwango chake kimeshuka.

    CASEMIRO Pict
  5. Kombe la Dunia kuwa na 'half-time show'

    SHIRIKISHO la Soka Duniani (FIFA) limetangaza mpango wa kuwa na onyesho la mapumziko (halftime show) kwa mara ya kwanza kabisa katika fainali ya Kombe la Dunia 2026, litakalofanyika katika Uwanja...

    SHAKIRA Pict
  6. Yanga, Azam zapelekwa Mwanza, Simba yarudishwa Arusha

    SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limepanga mechi ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB, baina ya Yanga na Azam FC kuchezwa Mwanza katika Uwanja wa CCM Kirumba, Juni 21, 2026.

  7. Mainoo akumbuka magumu United

    KIUNGO wa Manchester United, Kobbie Mainoo, amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu changamoto alizopitia baada ya kupoteza nafasi kikosini chini ya kocha wa zamani Ruben Amorim kabla ya kurejea...

  8. Kigogo ashusha presha ujenzi Uwanja Yanga

    KUMEIBUKA mjadala kwa baadhi ya wadau wa soka wakiona kama wamedanganywa hatua za kuanza kwa ujenzi wa Uwanja wa Yanga, sasa kigogo mmoja wa timu hiyo ameibuka na kutuliza presha.

    KIGOGO Pict
  9. Wafungaji bora wa kila timu katika EPL

    TANGU Ligi Kuu England ianzishwe msimu wa 1992/93, timu 51 tofauti zimecheza kwenye ligi hiyo.

    WAFUNGAJI Pict
  10. PRIME Aziz KI aiponza Yanga

    Soma zaidi hapa!

Previous

Page 297 of 878

Next