Chelsea kumtoa Jackson kwa Juve Chelsea FC huenda wakamtumia mshambuliaji Nicolas Jackson kama sehemu ya makubaliano ya kumsajili beki wa Juventus FC, Andrea Cambiaso.
Luke Shaw kukatwa mshahara Man United BEKI Luke Shaw atalazimika kukubali kupunguziwa mshahara ikiwa anataka kusaini mkataba mpya na Manchester United.
Uruguay kimeumana huko WACHEZAJI wa timu ya taifa ya Uruguay wamepata pigo jingine baada Shirikisho la Soka la Uruguay (AUF) kuchukua uamuzi kuvunja kambi na kila mtu kutakiwa kujigharamia mwenyewe safari ya...
Vurugu zatikisa ufunguzi wa Kombe la Dunia, Mexico VURUGU ziliibuka wakati wa ufunguzi wa Fainali za Kombe la Dunia 2026, baada ya waandamanaji kupambana na polisi wa kutuliza ghasia nje ya Uwanja wa Mexico City uliokuwa ukitumika kwa mechi hiyo...
Enzo Maresca aanza na pigo Man City JANA, siku ambayo alitangazwa kuwa kocha mpya wa Manchester City, Enzo Maresca, alianza kwa kupokea habari mbaya kuhusu kikosi chake ikielezwa kwamba kiungo na mshindi wa Ballon d’Or 2024...
‘The Special One’ atajwa kuwa mrithi wa Arbeloa Real Madrid! KOCHA wa Benfica, Jose Mourinho ‘The Special One’ ameripotiwa kuhusishwa na kurejea Real Madrid kuelekea msimu ujao kwani tayari mabosi wa timu hiyo wameanza mazungumzo na wawakilishi wake.
Bingwa Muungano Cup kubeba Sh150 milioni BINGWA wa Kombe la Muungano 2026, atazawadiwa Sh150 milioni, zawadi ambayo ni mara tatu ya mashindano yaliyopita.
Jose Mourinho atajwa Newcastle United KOCHA wa Benfica, Jose Mourinho anaweza kurejea katika Ligi Kuu England baada ya uongozi wa Newcastle United kudaiwa unafikiria kumwajiri kuelekea msimu ujao.
Wizara ya Maliasili na Utalii mguu sawa kuelekea AFCON 2027 WIZARA ya Maliasili na Utalii, imewahakikishia wawekezaji na wadau wa michezo ushirikiano wa kutosha kuwezesha ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya kisasa ili kuongeza thamani ya vivutio vya...
Bruno aibana Man United, aweka masharti magumu NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes, ameweka wazi mustakabali wake ndani ya klabu hiyo utategemea uwezo wa timu hiyo kurejea katika ushindani wa mataji msimu ujao.