Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8017 results for Mwandishi Wetu :

  1. Rice awaza ubingwa Kombe la Dunia

    KIUNGO ghali wa Arsenal, Declan Rice amesema tena kwa msisitizo kwamba England haipaswi kuwa waoga wa kusema itakwenda kushinda taji la Kombe la Dunia.

    RICE Pict
  2. Watanzania waitwa kujaribu bahati Azam FC ikimsaka mrithi wa Popat 

    Azam FC imetoa wito kwa Watanzania kuchangamkia nafasi ya Mtendaji Mkuu iliyoachwa wazi na Abdulkarim Nurdin maarufu kama Popat.

    POPAT Pict
  3. Petit: Wirtz? Hana ile thamani buana

    USAJILI wa Liverpool wa staa wa Pauni 116 milioni, Florian Wirtz ameanza vibaya maisha yake huko Anfield, hajafunga wala kuasisti kwenye Ligi Kuu England tangu alipojiunga kutoka Bayer Leverkusen.

    WITZ Pict
  4. Wawili watia presha Arsenal

    MASTAA Martin Zubimendi na Ben White wanampa presha kocha Mikel Arteta baada ya kudaiwa kuwa majeruhi wakati kikosi cha Arsenal kikijiandaa na mechi ya Ligi Kuu England dhidi ya Fulham.

    ARSENAL Pict
  5. Wembanyama anadaiwa kukaribia futi nane

    YULE fundi wa mpira wa kikapu wa kimataifa wa Ufaransa, Victor Wembanyama anadaiwa kuongezeka kwa nchi nne na sasa ikielezwa kwamba kuwa anakaribia urefu wa futi nane.

    WAMBENYANA Pict
  6. Zanzibar International Marathon ni Novemba 23

    MASHINDANO ya kukimbia yaliyopewa jina la Yas Zanzibar International Marathon yamepangwa kufanyika Novemba 23 Novemba 2025 yakiwa na kauli mbiu ya “Kila Hatua ni Special.”

    Marathon Pict
  7. Uefa yaifanyia uchunguzi Juventus

    MIAMBA ya soka ya Serie A, Juventus imebainisha Alhamisi iliyopita kwamba ipo kwenye uchunguzi mkali wa Shirikisho la Soka la Ulaya (UEFA) kufuatia ripoti kwamba imekiuka kanuni za matumizi ya...

  8. Yanga waishi kibosi Malawi, wafikia kwenye hoteli hii

    Msafara wa Yanga umetua ndani ya ardhi ya Malawi ukiwa na zaidi ya watu 50 ambao unajumuisha wachezaji, maofisa wa benchi la ufundi, viongozi, maofisa, waandishi wa habari pamoja na mashabiki wa...

  9. Shearer: Isak? Amekosea kwenda Liverpool

    GWIJI wa Ligi Kuu England, Alan Shearer amesema straika Alexander Isak hajajitendea haki kwa uamuzi wake wa kwenda kujiunga na Liverpool.

  10. Mbeumo amshawishi Baleba atue Man United

    STAA wa Manchester United, Bryan Mbeumo ameripotiwa kumhamasisha mchezaji mwenzake wa Cameroon, Carlos Baleba waungane pamoja Old Trafford.

Previous

Page 295 of 802

Next