Twiga Stars yatakata, yanusa WAFCON Timu ya Taifa ya soka ya Wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imejiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 baada ya kuibuka na ushindi wa mabao...
Polisi wajitetea mashabiki Maccabi Tel Aviv kuzuiwa England Kamishna Mkuu wa Polisi wa West Midlands, amesema jeshi hilo halijashindwa kumlinda mtu yeyote akitetea uamuzi wa kuwapiga marufuku mashabiki wa Maccabi Tel Aviv kuhudhuria mechi ya Europa League...
Slot akijipindua tu hana chake LISEMWALO ni kwamba kibarua cha Arne Slot huko Liverpool kipo kwenye mashaka makubwa kutokana na timu hiyo kupata matokeo ya hovyo uwanjani.
Kane huyu siyo yule wa zamani STRAIKA Harry Kane amekuwa gumzo na kuwafanya watu waamini anaweza kubadili nafasi yake ya kucheza ndani ya uwanja na kisha akawasha moto baada ya kile alichokifanya dhidi ya Borussia Dortmund.
Ziyech wa Chelsea asaini mmoja Wydad, kukipiga na Aziz KI Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea, Hakim Ziyech amefikia makubaliano ya kujiunga na Wydad Casablanca ya Morocco kwa mkataba wa mwaka mmoja.
Sio Yanga tu hata Azam v KMKM ni buree Klabu ya Azam FC imetangaza kuwa mchezo wa marudiano dhidi ya KMKM kombe la Shirikisho utakaopigwa Oktoba 24, 2025 kwenye uwanja wa Azam Complex hauna kiingilio.
Modest kaziachia klabu zetu maswali mazito JANA ulimwengu wa soka Tanzania ulimpoteza mmoja wa wachezaji wake mahiri wa zamani, Alphonce Modest, beki wa zamani wa Pamba, Simba na Yanga aliyefariki dunia mjini Kigoma baada ya kuugua kwa...
Mayele, Kapombe kwenye vita yao CAF Fiston Mayele na Shomari Kapombe hawajakutana uwanjani tangu Mayele alipojiunga na Pyramids FC ya Misri mwaka 2023 akitokea Yanga.
Chebet ajiondoa mashindano ya Mbio za Nyika Mshindi wa medali ya dhahabu mara kadhaa katika mashindano ya dunia ya mbio za nyika, Beatrice Chebet, hatashiriki Mashindano ya Taifa ya Mbio za Nyika yatakayofanyika Jumamosi Oktoba 25, 2025...