Harambee Starlets yaichapa Gambia, yafuzu WAFCON 2026
Timu ya Taifa ya Soka Wanawake ya Kenya, Harambee Starlets, imefuzu michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (Wafcon) 2026, baada ya kuichapa Gambia bao 1-0, jana Jumanne Oktoba 28, 2025.