Wasanii kikapu ni mchezo wao NI swali ambalo baadhi ya watu wamekuwa wakijuliza sababu zinazowafanya wasanii wa muziki, waigizaji na wanamitindo kupenda mchezo wa kikapu.
Mane afichua kwa nini aliikataa Man United na kutimkia Anfield Hatimaye mshambuliaji wa Al Nassr ya Saudi Arabia, Sadio Mané, amefichua kuwa alikataa kusajiliwa na Manchester United na badala yake akaamua kujiunga na Liverpool mwaka 2016.
Kipa Singida Black Stars aibua gumzo Nigeria Gwiji wa soka nchini Nigeria, Yakubu Aiyegbeni, ameibuka na kuhoji uamuzi wa kocha wa timu ya taifa ya nchi hiyo, Eric Chelle, wa kumjumuisha kipa anayekipiga nchini Tanzania, Amas Obasogie...
Wales yapewa 30%, Italia 62% kufuzu WALES imepewa nafasi ya asilimia 30 ya kufuzu kucheza fainali za Kombe la Dunia 2026.
Kumbe kiboko ya Bale ni Richards GARETH Bale amefunguka Micah Richards ndiye beki mgumu zaidi aliyekuwa akimpa shida uwanjani wakati walipokuwa wakikipiga.
Mayele atwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka wa Klabu Fiston Mayele ametawazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwaka wa Klabu za Wanaume katika Tuzo za CAF 2025, akihitimisha msimu wake bora zaidi uliomfanya mshambuliaji huyo wa DR Congo kuwa mmoja wa...
Mzize ang’ara tuzo za CAF 2025 Mshambuliaji wa Yanga na Taifa Stars, Clement Mzize ameshinda Tuzo ya Bao Bora la Mwaka 2025 katika hafla ya utoaji tuzo za Shirikisho la Soka Afrika (CAF).
Arsenal, Manchester City zatabiriwa ubingwa EPL 2025-2026 Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal, Alan Smith, ametaja klabu mbili ambazo anaamini zitashindana kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya EPL msimu huu 2025-2026.
Kwanza Klopp, kisha Enrique LIVERPOOL itamgeukia kocha wake wa zamani, Jurgen Klopp kupiga mzigo upya huko Anfield itakapoamua kumfuta kazi Arne Slot kabla ya kutafuta namna kumpata kocha inayemtaka ambaye ni Luis Enrique.
Cunha, Sesko ngoma ngumu KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim hatakuwa na huduma za washambuliaji wake Matheus Cunha na Benjamin Sesko katika mechi ngumu ya Ligi Kuu England dhidi ya Crystal Palace, Jumapili.