Siasa zamuondoa Paolo Maldini italia SOKA la Italia limeingia kwenye sintofahamu baada ya vigogo Paolo Maldini na Leonardo kujiuzulu nyadhifa zao kufuatia sakata la Andrea Pirlo kuondolewa kwenye mbio za kuwa kocha mpya wa timu ya...
Biashara ya Vinicius Jr inavyozua utata wa usajili WINGA wa Real Madrid, Vinicius Junior, ameendelea kujijengea hadhi kubwa si tu ndani ya uwanja wa soka, bali pia kwenye ulimwengu wa biashara, huku akiwa miongoni mwa wachezaji wenye mvuto mkubwa...
Mazungumzo ya Salah na Besiktas yafikia mwisho BESIKTAS imedai kusitisha rasmi mazungumzo ya kumsajili nyota wa Misri, Mohamed Salah, baada ya pande hizo kushindwa kufikia mwafaka wa kifedha licha ya kufanya mikutano mitatu.
BMT wapongeza ujio wa kocha mbobevu wa kuogelea BARAZA la Michezo la Taifa (BMT), limesema ujio wa kocha wa kimataifa wa mchezo wa kuogelea, Ben Lee kutoka Marekani ni fursa kubwa kwa makocha na waogeleaji wazawa kujifunza ujuzi wa viwango vya...
Huyu hapa Panenka mwenye panenka yake KATIKA soka, Panenka ni mbinu ya kupiga penalti na mpigaji badala ya kuupiga mpira kwenda kushoto au kulia mwa kipa, huugusa kwa ustadi kutoka chini na kuuinua taratibu katikati ya lango.
Mastaa nane wanaosaka 'machimbo' Zikiwa zimebaki takribani wiki nne kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi za ndani wa 2026-27, kuna majina makubwa ya wachezaji ambao bado hawajapata klabu mpya.
Vipers yaiduwaza Gor Mahia ikifuzu nusu fainali Kagame 2026 Mwanzo mzuri wa Gor Mahia katika michuano ya CECAFA Kagame Cup 2026, umekatizwa kwa namna ya kusikitisha baada ya kufungwa dakika za mwisho na Vipers SC katika mchezo wao wa pili wa Kundi A
Barcola aitingisha Paris Saint-Germain MABADILIKO makubwa yanaonekana kumsubiri winga wa Paris Saint-Germain, Bradley Barcola, baada ya taarifa kueleza kuwa amesitisha rasmi mazungumzo ya kuongeza mkataba mpya na mabingwa hao wa...
Rufaa ya Senegal kupinga kuvuliwa ubingwa AFCON kusikilizwa Oktoba 8 MAHAKAMA ya Usuluhishi wa Michezo (CAS), imetangaza kwamba, Oktoba 8, 2026, itasikiliza rufaa ya Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) dhidi ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) na Shirikisho la Soka...
Simba yaachana na Bajaber KLABU ya Simba, imetangaza kufikia makubaliano ya pande mbili ya kuvunja mkataba wa kiungo mshambuliaji, Mohammed Bajaber raia wa Kenya.