Klopp atajwatajwa huko Real Madrid KIAPO cha Jurgen Klopp alichoweka ni kwamba atapumzika baada ya kuachana na Liverpool, lakini sasa kumekuwa na tetesi nyingi zikimhusisha na mpango wa kwenda kuchukua mikoba ya kuinoa Real Madrid.
Keane awashangaa mastaa Man United GWIJI wa Manchester United, Roy Keane amesema timu hiyo inatia aibu kwa rekodi za Ligi Kuu England msimu huu na kusema anaelewa sasa kwanini kocha Ruben Amorim alihitaji kujiunga na timu hiyo...
Bruno Fernandes yupo tayari kuuzwa NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes amesema yupo tayari kuondoka endapo kama mabosi wa klabu hiyo wataamua kumpiga bei kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Ancelotti akabidhiwa mikoba Brazil HATIMAYE, Carlo Ancelotti amethibitishwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya soka ya Brazil.
Straika huyu anawasikitisha Arsenal STRAIKA wa zamani wa Arsenal, Mika Biereth amepandisha thamani yake karibu mara 10 ya bei ambayo klabu hiyo ya Emirates ilimuuza na hivyo kuwafanya wajutie uamuzi huo, imeelezwa.
JKT Tanzania yaiweka pabaya Fountain Gate JKT Tanzania imezidi kuiweka pabaya Fountain Gate katika msimamo wa Ligi Kuu Bara huku zikisalia mechi mbili kumaliza msimu huu.
Skauti kibao waenda kumtazama Ronaldo Jr SKAUTI wa klabu kibao za Ulaya ikiwamo Manchester United walikwenda kumtazama mtoto wa supastaa Cristiano Ronaldo, Cristiano Ronaldo Jr wakati alipocheza mechi yake ya kwanza ya timu ya taifa ya...
Eti kocha Arteta hatoboi Krismasi Hiyo ni kwa mujibu wa gwiji wa klabu hiyo, Paul Merson, ambaye alisema kitu ambacho kitamwokoa kocha huyo asionyeshwe mlango wa kutokea msimu ujao itakapofika Krismasi kama tu Arsnal itakuwa...
Man United haivunji benki kwa straika mpya MANCHESTER United imeamua kufuta mpango wa kuvunja benki kwa ajili ya kunasa huduma ya mshambuliaji Namba 9 kwenye dirisha hili.
Tabu iko palepale, Pacome aongeza miwili Yanga KLABU ya Yanga imethibitisha kumuongezea mkataba wa miaka miwili kiungo wake, Pacome Zouzoua baada ya ule wa awali kumalizika mwisho wa msimu uliopita 2024-2025.