Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8754 results for Mwandishi :

  1. Klopp atajwatajwa huko Real Madrid

    KIAPO cha Jurgen Klopp alichoweka ni kwamba atapumzika baada ya kuachana na Liverpool, lakini sasa kumekuwa na tetesi nyingi zikimhusisha na mpango wa kwenda kuchukua mikoba ya kuinoa Real Madrid.

  2. Keane awashangaa mastaa Man United

    GWIJI wa Manchester United, Roy Keane amesema timu hiyo inatia aibu kwa rekodi za Ligi Kuu England msimu huu na kusema anaelewa sasa kwanini kocha Ruben Amorim alihitaji kujiunga na timu hiyo...

  3. Bruno Fernandes yupo tayari kuuzwa

    NAHODHA wa Manchester United, Bruno Fernandes amesema yupo tayari kuondoka endapo kama mabosi wa klabu hiyo wataamua kumpiga bei kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi.

    BRUNO Pict
  4. Ancelotti akabidhiwa mikoba Brazil

    HATIMAYE, Carlo Ancelotti amethibitishwa kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya soka ya Brazil.

    ANCELOTTi Pict
  5. Straika huyu anawasikitisha Arsenal

    STRAIKA wa zamani wa Arsenal, Mika Biereth amepandisha thamani yake karibu mara 10 ya bei ambayo klabu hiyo ya Emirates ilimuuza na hivyo kuwafanya wajutie uamuzi huo, imeelezwa.

    ARSENAL Pict
  6. JKT Tanzania yaiweka pabaya Fountain Gate

    JKT Tanzania imezidi kuiweka pabaya Fountain Gate katika msimamo wa Ligi Kuu Bara huku zikisalia mechi mbili kumaliza msimu huu.

    JKT Pict
  7. Skauti kibao waenda kumtazama Ronaldo Jr

    SKAUTI wa klabu kibao za Ulaya ikiwamo Manchester United walikwenda kumtazama mtoto wa supastaa Cristiano Ronaldo, Cristiano Ronaldo Jr wakati alipocheza mechi yake ya kwanza ya timu ya taifa ya...

  8. Eti kocha Arteta hatoboi Krismasi

    Hiyo ni kwa mujibu wa gwiji wa klabu hiyo, Paul Merson, ambaye alisema kitu ambacho kitamwokoa kocha huyo asionyeshwe mlango wa kutokea msimu ujao itakapofika Krismasi kama tu Arsnal itakuwa...

    ARTETA Pict
  9. Man United haivunji benki kwa straika mpya

    MANCHESTER United imeamua kufuta mpango wa kuvunja benki kwa ajili ya kunasa huduma ya mshambuliaji Namba 9 kwenye dirisha hili.

    BENKI Pict
  10. Tabu iko palepale, Pacome aongeza miwili Yanga

    KLABU ya Yanga imethibitisha kumuongezea mkataba wa miaka miwili kiungo wake, Pacome Zouzoua baada ya ule wa awali kumalizika mwisho wa msimu uliopita 2024-2025.

Previous

Page 253 of 876

Next