Bao la Sadio Mane laiingiza Senegal fainali Afcon 2025 STAA, Sadio Mane amefunga bao pekee wakati Senegal walipoichapa Misri na kutinga fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 (AFCON) na hivyo kumaliza ndoto ya Mohamed Salah ya kushinda taji lake...
Real Madrid ikimvutia waya Klopp, wanambeba JURGEN Klopp ametajwa kuwa kinara kwenye orodha ya makocha wanaopewa nafasi ya kupewa kibarua Real Madrid huku ripoti zikifichua gwiji huyo wa Liverpool yupo tayari kukubali kazi hiyo.
Vigogo Manchester City wamng’ang’ania Guehi MANCHESTER CITY inajiandaa kuwasilisha ofa ili kumsajili beki wa kati wa Crystal Palace na timu ya taifa ya England, Marc Guehi, 25, kabla ya kufungwa dirisha la usajili la Januari.
Kocha mpya kuketi kitako na Sterling STAA wa Chelsea, Raheem Sterling, ambaye kwa sasa ametengwa kikosini, anatarajiwa kufanya mazungumzo ya dharura na kocha mpya wa timu hiyo, Liam Rosenior, siku chache zijazo.
Mamadou Sakho kaona sasa inatosha, basi BEKI wa zamani wa Liverpool, Mamadou Sakho, ametangaza kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 35.
Fomesheni nne za kocha Man United! MICHAEL Carrick anaweza kuanzisha mambo mapya Manchester United kwa kukiandaa kikosi kitakachocheza kwenye njia nne tofauti akiwa kocha wa muda.
FERWAFA yasitisha mkataba wa Adel Amrouche Baada ya kuinoa timu ya taifa ya Rwanda 'Amavubi' kwa miezi 10, Kocha Adel Amrouche ameondolewa katika kibarua hicho na Shirikisho la Mpira wa Miguu Rwanda (FERWAFA) jana, Jumanne, Januari 13, 2025.
Jake anunua ranchi, mabilioni ya pambano la Tyson KAMA utani vile! Lakini, huo ndio ukweli. Bondia wa ngumi za maonyesho mitandaoni na mtengeneza maudhui mitandaoni, Jake Paul amenunua ranchi yenye thamani ya Dola 40 milioni (zaidi ya Sh90...