Majina 10 ya Pablo moto mpya Simba SIMBA ilipunguzwa kasi katika mbio za kutetea taji lao la Ligi Kuu baada ya sare ya 1-1 kwenye Uwanja wa Azam Complex na kuwaacha Yanga wakihitaji pointi tisa tu kutwaa ubingwa, lakini Wekundu...
Nabi ataja siku ya ubingwa YANGA ina dakika 270 tu za uwanjani za kupeleka Jangwani taji lake la 28 la Ligi Kuu Bara na kocha wa vinara hao, Nasreddine Nabi ameitaja Juni 22 kuwa ndio siku ya kukamilisha furaha ya Wananchi.
Watano Simba wapewa Azam MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba leo Jumatano watakuwa wageni wa Azam kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa kuanzia saa 1:00 usiku kwenye Uwanja wa Azam Complex. Kocha wa Simba...
Pablo awatisha Yanga Kirumba, asema lazima kieleweke HAKUNA sare! Ni kauli ya kocha wa Simba, Pablo Franco akisisitiza kuichapa Yanga watakapokutana kwenye nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (ASFC) huku Nasreddine Nabi akiweka msimamo. Simba na...
Morrison ndio basi tena Simba KLABU ya Simba imempa mapumziko hadi mwisho wa msimu mchezaji wake, Bernard Morrison kutokana na sababu ambazo hawakuziweka wazi.
Pablo apewa siku 7 Simba KOCHA Mkuu wa Simba, Pablo Franco amepewa wiki moja kuandaa ripoti maalumu kwa ajili ya masuala ya kiufundi kabla ya msimu ujao kuanza mambo gani anayotaka yafanyike kufanya vizuri.
Chama kukaa jukwaani mechi tano za ubingwa KIUNGO fundi wa Simba, Clatous Chama hataonekana kwenye mechi wala mazoezini kwa mwezi mmoja kutokana na majeruhi yake, Mwanaspoti limejiridhisha. Staa huyo kipenzi cha mashabiki aliyekuwa...
Simba hesabu kali SIMBA usiku wa juzi ilikuwa uwanjani kumalizana na Ruvu Shooting, huku mabosi wake wakianza hesabu mpya kwa ajili ya msimu ujao, ikiwaweka kwenye rada zao nyota wawili wakali wa kutupia.
Wakitua tu Yanga...mmekwisha KIKOSI cha Yanga kinapambana kujimilikisha taji la Ligi Kuu msimu huu, huku ikiwa tayari na tiketi ya michuano ya CAF msimu ujao na kocha wa timu hiyo, Nasreddine Nabi ameanza kupendekeza mastaa...