Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8749 results for Mwandishi :

  1. Skauti Liverpool afunguka dili la Guehi

    SKAUTI wa Liverpool, Stewart Downin ambaye kazi yake ni kutambua na kupendekeza wachezaji ameweka wazi kwamba beki wa Crystal Palace Marc Guehi ambaye anahitajika na Liverpool anasajiliwa kwa...

    SKAUTI Pict
  2. Kina Mayele wamtibulia aliyeikacha Yanga

    USHINDI wa mabao 2-0 iliyoupata Pyramids dhidi ya Al Ahly, umetibua mambo katika klabu hiyo mabingwa wa kihistoria wa Ligi ya Mabingwa Afrika na sasa moto unawaka huku anayesakwa ni aliyeikataa...

    MAYELE Pict
  3. Ishu ya Man United, Baleba aachiwa msala

    KIUNGO Carlos Baleba ameachiwa msala wa kulazimisha uhamisho wake wa kwenda kujiunga na Manchester United baada ya miamba hiyo ya Old Trafford kupunguza kasi kidogo ya kunasa saini ya staa huyo...

    BALEBA Pict
  4. Arteta: Gyokeres? Bado kidogo tulieni

    KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema ushindi wa Arsenal wa 1-0 dhidi ya Manchester United ulikuwa kama 'mchezo wa mpira wa kikapu' na hali hiyo haikumpa nafasi Viktor Gyokeres kuonyesha makali...

    NEYMAR Pict (1)
  5. Arajiga apewa mechi ya lawama CHAN, mbongo mwingine uhakika

    Hatimaye Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limemkumbuka refa Ahmed Arajiga wa Tanzania baada ya kumpanga kuchezesha mechi ya mwisho ya kundi C ya CHAN 2024 baina ya Algeria na Niger, leo...

  6. Uganda yaiduwaza Sauzi ikitinga robo CHAN 2024

    MABAO mawili ya penalti ya dakika za majeruhi zimeibeba Uganda The Cranes kutinga robo fainali ikizifuata Tanzania na Kenya kama wenyeji kutunga hatua hiyo.

  7. Arajiga aandika historia kwa kadi nyekundu CHAN 2024

    Jana refa Ahmed Arajiga alichezesha kwa mara ya kwanza mechi ya Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ligi za Ndani (CHAN) ambapo alikuwa refa wa kati wa mchezo baina ya Algeria na Niger...

  8. Taifa Stars yaanguka nafasi nne viwango FIFA

    Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanguka kwa nafasi nne katika viwango vya ubora wa soka vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) vilivyotangazwa leo, Septemba 18, 2025.

  9. Simeone afunguka sababu ya kumvaa shabiki

    KOCHA wa Atletico Madrid, Diego Simeone amefichua kwa nini aligombana na shabiki wa Liverpool baada ya Atletico Madrid kupoteza Anfield katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya juzi, Jumatano.

    CHOLO Pict
  10. Slot awavaa wachambuzi

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amelalamikia wachambuzi wanaozungumzia sana wachezaji wake wapya na gharama zilizotumika kuwasajili jambo ambalo haoni kama lina afya kwa ukuaji wao.

    SLOT Pict
Previous

Page 240 of 875

Next