Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8747 results for Mwandishi :

  1. Zoran atetea mastaa wake

    Baada ya tamasha la Simba Day juzi Jumatatu, kocha Zoran Maki amesema wachezaji walicheza kwa presha ya juu na kushindwa kufanya alichowaelekeza. Maki ameliambia Mwanaspoti mastaa wake...

  2. Rais Samia aongeza dau Yanga Sh20 milioni, ila...

    Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa Sh20 milioni kwa kila bao la ushindi kwa timu ya Yanga ambayo imetinga fainali za kombe la Shirikisho jana Jumatano Mei 18, 2023. Katika hatua ya nusu...

  3. Manara amshukuru Aveva

    ALIYEKUWA msemaji wa Simba Haji Manara amemshukuru aliyekuwa Rais wa timu hiyo, Evance Aveva kutokana na mchango mkubwa aliouonyesha kwa kumpa sapoti alipoanza kuhudumu katika timu hiyo...

  4. Gekul aipongeza Simba Queens

    Dodoma. Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Pauline Gekul ameipongeza timu ya soka ya wanawake ya Simba Queens kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake (Serengeti Lite Women...

  5. Kumbe Nabi alimkataa Makambo

    Kocha wa Yanga Nesreddine Nabi amesharejea nchini na Mwanaspoti linafahamu Mtunisia huyo hakutaka kumsajili Makambo, lakini mabosi wa Yanga tayari walishafika mbali katika kumrejesha. Kitu...

  6. Metacha akitibua Yanga

    KIPA wa Yanga, Metacha Mnata ameshakitibua tena pale Yanga na sasa amewekwa kando na kikosi hicho kwa madai ya utovu wa nidhamu. Inaelezwa kipa huyo ameingia kwenye utata wa nidhamu baada ya...

  7. Macho yote ni Twiga Stars leo Botswana

    KOCHA Mkuu wa Twiga Stars, Bakar Shime amesema wachezaji wa timu hiyo wako vizuri kuwakabili Botswana kwenye mchezo wa marudiano kufuzu michuano ya Olimpiki mwakani nchini Ufaransa. Mchezo wa...

  8. Simba yamrejesha Juma Mgunda

    Hatimaye Simba imerejesha kocha mzoefu, Juma Mgunda kwenye kikosi hicho muda mchache baada ya Abdelhack Benchikha na wasaidizi wake kutimka. Tetesi zilianza kuzagaa wiki nzima kuwa Benchikha...

  9. Gardner wa Clouds kuagwa kesho Dar, kuzikwa Jumanne Rombo

    Atazikwa kijijini kwao Kikelelwa, kata ya Tarakea, wilayani Rombo, mkoani Kilimanjaro.

  10. Dabi ya Mashemeji...   K'Ogalo yaizamisha tena Ingwe

    BAO pekee la dakika 30 lililowekwa kimiani na Austine Odhiambo limeiwezesha Gor Mahia kuizamisha tena AFC Leopards katika pambano la Dabi ya Mashemeji lililopigwa jioni ya leo Jumapili, jijini...

Previous

Page 234 of 875

Next