NYUMA YA PAZIA : Kobe Braynt, sura yake na fumbo la kifo ALIANDIKA mahala, John Hoyer Updike, mwandishi mahiri wa mashahiri wa Marekani, alisema ‘Ukitaka kuhesabika uwe nguli, inabidi ufe mapema’. Mapema ni umri gani? Hatuwezi kujua. Labda miaka 41.
Burnley yaendeleza rekodi ya panda shuka Premier League KICHAPO cha bao 1-0 ilichopokea Burnley usiku wa Aprili 22, 2026 kutoka kwa Manchester City, kimehitimisha safari ya timu hiyo kuendelea kuwepo ndani ya Premier msimu ujao, huku ikiungana na...
KUMECHAFUKA! Bosi wa marefa nje, 'VAR ikichezewa' WAKATI mwamuzi mwamuzi wa zamani, Gianluca Rocchi, akijisimamisha kwa hiari kutoka nafasi yake ya bosi wa waamuzi nchini Italia kufuatia uchunguzi unaoripotiwa kuhusu madai ya udanganyifu wa...
The Snipers Pool Club yatwaa ubingwa Pool Table Mashindano ya robo mwaka mchezo wa Pool Table upande wa Black Ball yamekamilika jijini Dodoma na kuishuhudia klabu ya The Snipers ikiibuka na ushindi kwa kuifunga Moro Pool Club kwa fremu...
Mghana hashikiki kwa ufungaji Ligi Kuu Z'Bar LIGI Kuu ya Zanzibar (ZPL) ipo raundi ya 10 kwa sasa, huku vita ya ufungaji mabao ikizidi kupamba moto kwa nyota wa KMKM, Ibrahim Is-haka akiongoza orodha akiwa na mabao sita.
Mabao mawili yambeba Kanoute AFL KIUNGO mkabaji wa Simba, Sadio Kanoute ni miongoni mwa wachezaji wanne waliomaliza kama vinara wa mabao kwenye michuano mipya ya African Football League (AFL) iliyomalizika jioni ya leo Jumapili.
Pazi yaanza na kichapo Road to BAL 2024 WAWAKILISHI wa nchi kwenye michuano ya kuwania kufuzu fainali za klabu bingwa Afrika kwa mchezo wa mpira wa kikapu (BAL), Pazi wameanza vibaya mchezo wao kwanza wakifungwa pointi 84-57. Pazi...
TBC kuongeza burudani Kombe la Dunia 2022 Shirika la utangazaji la TBC, limezindua rasmi mbio za kuonyesha michezo 28 kwa upande wa runinga na michezo 64 kwa upande wa radio, michuano ya Kombe la Dunia inayofanyka kuanzia leo Novemba 20...
Wapya Simba, Yanga wapangiwa siku yao WATANI wa jadi Simba na Yanga wanatarajiwa kukutana kwa mara nyingine tena Septemba 25, kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii ambapo unatarajiwa kuchezwa saa 11:00 jioni kwenye Uwanja wa Benjamin...
Sababu ya Mkude kutemwa Simba yatajwa SIMBA SC ikiendeleza kutoa 'Thank You' kwa wachezaji wake kikosini , leo imetoa tamko kuhusu kiungo Jonas Mkude aliyedumu miaka 13. Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally kupitia...