Kaze, Ben Youssef waagwa Kaizer Chiefs KLABU ya Kaizer Chiefs, imethibitisha kuondoka kwa makocha Khalil Ben Youssef na Cedric Kaze baada ya mikataba yao kumalizika mwishoni mwa msimu wa 2025-2026.
Staa S’oton amuopa mtoto wa Roy Keane LEAH Keane ambaye ni binti wa nguli wa zamani wa Manchester United, Roy Keane, amefunga ndoa na beki wa Southampton, Taylor Harwood-Bellis, katika harusi ya kifahari huko Wiltshire, Uingereza.
Liverpool, Iraola ni suala la muda tu LIVEROOL imefikia makubaliano ya awali ya maneno na kocha Andoni Iraola ili awe kocha mkuu mpya wa klabu hiyo kufuatia kufutwa kazi kwa Arne Slot.
Wanne Serengeti Boys wazama kikosi bora AFCON U17 Licha ya kukosa ubingwa wa Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Vijana chini ya umri wa miaka 17 (AFCON U17) 2026, Serengeti Boys imetamba kwa kuingiza idadi kubwa ya wachezaji katika kikosi bora cha...
Mwakinyo afunguka sababu za kupoteza pambano la IBO Bondia nyota wa Tanzania, Hassan Mwakinyo, amesema udhaifu wa mwili na kushindwa kucheza katika kiwango chake cha kawaida ndiyo sababu kubwa iliyochangia kupoteza pambano lake la kuwania mkanda...
West Ham yawatema 10 WEST Ham United imetangaza kuachana na wachezaji 10 kufuatia kushuka daraja kutoka Ligi Kuu ya England kwenda Championship.
Refa Msomalia aliyezuiwa Marekani kuchezesha UEFA Super Cup Umoja wa Vyama vya Mpira wa Miguu Ulaya (UEFA) umempanga Refa Omar Artan kuchezesha mechi ya taji la UEFA Super 2026 baina ya PSG na Aston Villa, Agosti 12, 2026.
Ibrahima Konate akaribia kusepa Liverpool BEKI wa Liverpool, Ibrahima Konate, anatajwa kuwa mbioni kuondoka Anfield dirisha hili la usajili baada ya kushindwa kufikia makubaliano ya kuongeza mkataba mpya na klabu hiyo.
Kinda Nigeria hajazikwa, mpenzi, rafiki mbaroni Kifo cha straika wa zamani wa Southampton na Nigeria, Victor Udoh kimeendelea kuzua maswali nchini humo ikiwa ni wiki moja tangu alipofariki dunia.
Arne Slot aingia rada za AC Milan Kocha Arne Slot ameibuka kama mmoja wa wagombea wanaotajwa kuchukua nafasi ya kuinoa AC Milan baada ya kuondoka katika klabu ya Liverpool.