Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8742 results for Mwandishi :

  1. Kaze, Ben Youssef waagwa Kaizer Chiefs

    KLABU ya Kaizer Chiefs, imethibitisha kuondoka kwa makocha Khalil Ben Youssef na Cedric Kaze baada ya mikataba yao kumalizika mwishoni mwa msimu wa 2025-2026.

  2. Staa S’oton amuopa mtoto wa Roy Keane

    LEAH Keane ambaye ni binti wa nguli wa zamani wa Manchester United, Roy Keane, amefunga ndoa na beki wa Southampton, Taylor Harwood-Bellis, katika harusi ya kifahari huko Wiltshire, Uingereza.

  3. Liverpool, Iraola ni suala la muda tu

    LIVEROOL imefikia makubaliano ya awali ya maneno na kocha Andoni Iraola ili awe kocha mkuu mpya wa klabu hiyo kufuatia kufutwa kazi kwa Arne Slot.

  4. Wanne Serengeti Boys wazama kikosi bora AFCON U17

    Licha ya kukosa ubingwa wa Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Vijana chini ya umri wa miaka 17 (AFCON U17) 2026, Serengeti Boys imetamba kwa kuingiza idadi kubwa ya wachezaji katika kikosi bora cha...

  5. Mwakinyo afunguka sababu za kupoteza pambano la IBO

    Bondia nyota wa Tanzania, Hassan Mwakinyo, amesema udhaifu wa mwili na kushindwa kucheza katika kiwango chake cha kawaida ndiyo sababu kubwa iliyochangia kupoteza pambano lake la kuwania mkanda...

  6. West Ham yawatema 10

    WEST Ham United imetangaza kuachana na wachezaji 10 kufuatia kushuka daraja kutoka Ligi Kuu ya England kwenda Championship.

  7. Refa Msomalia aliyezuiwa Marekani kuchezesha UEFA Super Cup

    Umoja wa Vyama vya Mpira wa Miguu Ulaya (UEFA) umempanga Refa Omar Artan kuchezesha mechi ya taji la UEFA Super 2026 baina ya PSG na Aston Villa, Agosti 12, 2026.

  8. Ibrahima Konate akaribia kusepa Liverpool

    BEKI wa Liverpool, Ibrahima Konate, anatajwa kuwa mbioni kuondoka Anfield dirisha hili la usajili baada ya kushindwa kufikia makubaliano ya kuongeza mkataba mpya na klabu hiyo.

    KONATE Pict
  9. Kinda Nigeria hajazikwa, mpenzi, rafiki mbaroni

    Kifo cha straika wa zamani wa Southampton na Nigeria, Victor Udoh kimeendelea kuzua maswali nchini humo ikiwa ni wiki moja tangu alipofariki dunia.

  10. Arne Slot aingia rada za AC Milan

    Kocha Arne Slot ameibuka kama mmoja wa wagombea wanaotajwa kuchukua nafasi ya kuinoa AC Milan baada ya kuondoka katika klabu ya Liverpool.

    SLOT Pict
Previous

Page 223 of 875

Next