MTU WA MPIRA: Kocha huyu Mbrazili amfundishe Kibu Denis?
SIMBA imemtangaza rasmi kocha Mbrazili, Roberto Oliveira kama mkufunzi mkuu wa timu. Ni kocha mkubwa sana hapa Afrika Mashariki.
Mbali na kuifikisha Vipers kwenye hatua ya makundi ya CAF, amewahi...