Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8731 results for Mwandishi :

  1. Kocha Chelsea afichua jambo zito

    KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amesema siku mbili zilizopita zilikuwa ‘mbaya zaidi’ katika kipindi chake cha ukocha wa klabu hiyo, akidai kuwa alikosa sapoti kutoka kwa baadhi ya watu wa timu hiyo.

    MARESCA Pict
  2. Ouma aiona robo fainali Shirikisho

    BAADA ya kuambulia pointi tatu nyumbani dhidi ya AS Otoho, Kocha Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema anaiona nafasi ya timu hiyo kuendelea kuandika historia kwa kutinga hatua ya robo...

  3. Pamba Jiji yang'oa kitasa Mbeya City

    UONGOZI wa Pamba Jiji umemalizana na aliyekuwa beki wa kati wa Mbeya City, Gabriel Mwaipola ambaye anaenda kuziba pengo la Abdallah Kheri 'Sebo' aliyetimkia Singida Black Stars.

    PAMBA Pict
  4. Pwani mwenyeji mashindano ya riadha taifa 

    SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT) limeutaja mkoa wa Pwani kuwa mwenyeji wa mashindano ya taifa ya riadha mwaka huu.

    RIADHA Pict
  5. Mikataba yamnyima  staa fura ya kucheza

    WAKATI wachezaji wakiwa katika maandalizi ya kuanza kwa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) 2026, nyota wa mchezo nchini, Jimmy Brown, ametaja sababu zilizomfanya asicheze michuano hiyo...

    MIKATABA Pict
  6. Guede ajiapiza Singida Black Stars

    LICHA ya kupoteza mchezo kwa mabao 2-1 ugenini dhidi ya AS Otoho, mshambuliaji Joseph Guede amesema bado wana nafasi ya kufanya vizuri na kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho...

    GUEDE Pict
  7. Cunha amtaka Zirkzee abaki

    STAA, Matheus Cunha amemwambia Joshua Zirkzee kuwa anapaswa kusahau wazo la kuondoka Manchester United na kujikita zaidi katika kusaidia timu.

    CUNHA Pict
  8. Uefa kususia Kombe la Dunia

    VIONGOZI wa soka Ulaya wamefanya mazungumzo ya awali kuhusu hatua wanazoweza kuchukua ili kujibu kile kinachofanywa na Rais wa Marekani, Donald Trump kutaka kuichukua Greenland mikononi mwa...

  9. Marc Guehi mlango wazi kusepa

    BEKI wa Crystal Palace, Marc Guehi anaweza kuondoka Crystal Palace mwezi huu ikiwa Manchester City itakubali kutoa Pauni 40 milioni ambayo ni ada yake.

    GUEHI Pict
  10. Lejendi azigonganisha Chelsea, Liverpool

    LEJENDI wa Chelsea, Joe Cole ameiingiza vitani timu hiyo dhidi ya Liverpool baada ya kuweka wazi kwamba kocha Jurgen Klopp ni mmoja kati ya wale wanaoweza kuchukua mikoba ya Enzo Maresca

    JOE Pict
Previous

Page 214 of 874

Next