Kocha Chelsea afichua jambo zito KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amesema siku mbili zilizopita zilikuwa ‘mbaya zaidi’ katika kipindi chake cha ukocha wa klabu hiyo, akidai kuwa alikosa sapoti kutoka kwa baadhi ya watu wa timu hiyo.
Ouma aiona robo fainali Shirikisho BAADA ya kuambulia pointi tatu nyumbani dhidi ya AS Otoho, Kocha Mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amesema anaiona nafasi ya timu hiyo kuendelea kuandika historia kwa kutinga hatua ya robo...
Pamba Jiji yang'oa kitasa Mbeya City UONGOZI wa Pamba Jiji umemalizana na aliyekuwa beki wa kati wa Mbeya City, Gabriel Mwaipola ambaye anaenda kuziba pengo la Abdallah Kheri 'Sebo' aliyetimkia Singida Black Stars.
Pwani mwenyeji mashindano ya riadha taifa SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT) limeutaja mkoa wa Pwani kuwa mwenyeji wa mashindano ya taifa ya riadha mwaka huu.
Mikataba yamnyima staa fura ya kucheza WAKATI wachezaji wakiwa katika maandalizi ya kuanza kwa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) 2026, nyota wa mchezo nchini, Jimmy Brown, ametaja sababu zilizomfanya asicheze michuano hiyo...
Guede ajiapiza Singida Black Stars LICHA ya kupoteza mchezo kwa mabao 2-1 ugenini dhidi ya AS Otoho, mshambuliaji Joseph Guede amesema bado wana nafasi ya kufanya vizuri na kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho...
Cunha amtaka Zirkzee abaki STAA, Matheus Cunha amemwambia Joshua Zirkzee kuwa anapaswa kusahau wazo la kuondoka Manchester United na kujikita zaidi katika kusaidia timu.
Uefa kususia Kombe la Dunia VIONGOZI wa soka Ulaya wamefanya mazungumzo ya awali kuhusu hatua wanazoweza kuchukua ili kujibu kile kinachofanywa na Rais wa Marekani, Donald Trump kutaka kuichukua Greenland mikononi mwa...
Marc Guehi mlango wazi kusepa BEKI wa Crystal Palace, Marc Guehi anaweza kuondoka Crystal Palace mwezi huu ikiwa Manchester City itakubali kutoa Pauni 40 milioni ambayo ni ada yake.
Lejendi azigonganisha Chelsea, Liverpool LEJENDI wa Chelsea, Joe Cole ameiingiza vitani timu hiyo dhidi ya Liverpool baada ya kuweka wazi kwamba kocha Jurgen Klopp ni mmoja kati ya wale wanaoweza kuchukua mikoba ya Enzo Maresca