Pamba Jiji yaishusha rasmi Kagera Sugar ikiongeza presha Ligi Kuu Wakati Pamba Jiji ikichekelea ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya KenGold, matokeo hayo yamepeleka kilio kwa Kagera Sugar ambayo imeaga rasmi Ligi Kuu na msimu ujao itacheza Championship.
Prisons yainyuka Coastal, yaiweka pabaya Kagera Ushindi wa mabao 2-1 iliyopata Tanzania Prisons dhidi ya Coastal Union unaiweka katika presha kubwa Kagera Sugar ambayo baadaye itakuwa kibaruani mbele ya Mashujaa.a msala timu zilizopo juu yake...
Sadala Lipangile: KenGold bado haijashuka BEKI wa KenGold, Sadala Lipangile amesema pamoja na timu hiyo kushuka daraja, wachezaji hawajashuka daraja badala yake mechi tatu zilizobaki ndizo za kujitafuta ili waendelee kubaki Ligi Kuu...
KenGold, Pamba Jiji mechi ya upande mmoja WAKATI KenGold ikiikaribisha Pamba Jiji katika mwendelezo wa Ligi Kuu Jumanne hii, huenda mchezo huo ukawa wa upande mmoja kutokana na matokeo ya timu hizo, huku makocha wa timu hizo wakieleza...
Mbeya City yamaliza Championship kibabe, shangwe ikitawala Sokoine Mbeya City imehitimisha msimu kibabe baada ya kuikanda mabao 5-0 Green Warriors, huku viongozi wa timu hiyo na Chama Cha Soka mkoani humo wakieleza furaha na matarajio yao ya msimu ujao. Timu...
Kagera Sugar ina mtego wa miaka 21 WAKATI Ligi Kuu Bara ikirejea tena wikiendi hii baada ya kushuhudiwa viporo vinne vya mechi za Simba vikimalizika, Kagera Sugar ipo katika mtego wa kukwepa aibu ya miaka 21 katika ligi hiyo.
MBEYA CITY: Safari ya kushuka, kupanda ilivyogeuka pande mbili USIYEMPENDA kaja. Ndivyo unavyoweza kuelezea kurejea kwa Mbeya City ndani ya Ligi Kuu Bara baada ya kupotea misimu miwili, huku ikiweka rekodi na heshima jijini Mbeya.
Coastal Union yaishusha KenGold, yatangulia Championship Ken Gold imeshuka rasmi Ligi Kuu Bara baada ya kupoteza mchezo wake wa leo dhidi ya Coastal Union kwa mabao 2-1 uliopigwa Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.
Frii-kiki zinawavuruga JKT Tanzania KOCHA wa JKT Tanzania, Ahmad Ally, amesema ndani ya kikosi hicho kuna tatizo kwa wachezaji wake kushindwa kuzuia mashambulizi yanayotokana na mipira ya kutengwa.
Dakika 15 za kibabe Prisons ikiichezesha kwata JKT Tanzania Pamoja na kutanguliwa mabao mawili, Tanzania Prisons imetumia dakika 15 kufanya 'comeback' na kuifumua JKT Tanzania mabao 3-2 kuendeleza matumaini ya kubaki salama Ligi Kuu.