Diarra uso kwa uso tena na Percy Tau AFCON 2023 Kipa namba moja wa Yanga Djigui Diarra ameanza kwenye kikosi cha kwanza cha timu ya Taifa ya Mali ambacho kitaivaa Afrika Kusini usiku huu. Diarra anakutana tena na mshambuliaji wa Al Ahly...
Yanga yashusha chuma kutoka Ivory Coast Klabu ya Yanga imefanikiwa kunasa saini ya mshambuliaji raia wa Ivory Coast, Joseph Guédé Gnadou akiwa mchezaji huru baada ya kuachana klabu ya Tuzlaspor ya Uturuki. Mshambuliaji huyo mwenye...
Simba yashusha Straika wa Ivory Coast Kramo, Phiri kikaangoni Klabu ya Simba imenasa saini ya mshambuliaji Freddy Michael Kouablan raia wa Ivory Coast akitokea Green Eagle ya Zambia. Kouablan (25) katika msimu wa 2023/24 amecheza mechi 17 na kufanikiwa...
Inonga, Mayele uhakika Afcon 2023 Beki kisiki wa Simba, Henock Inonga na mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele anayekipiga Pyramid FC ya Misri, wamepenya kwenye kikosi cha mwisho wachezaji 24 wa timu ya taifa ya DR Congo...
Ishu ya Katiba, Simba yaita wanachama KLABU ya Simba inatarajiwa kufanya Mkutano Mkuu wa Mwaka, Januari 21 mwakani, huku ikiwaita wanachama wa klabu hiyo kutoa mapendekezo kwa ajili ya marekebisho ya katiba kama agizo la Baraza la...
TPLB yaahirisha mechi saba za Simba, Yanga na Azam Bodi ya Ligi imetangaza kuhairisha mechi saba za Ligi Kuu zilizopangwa kupigwa kuanzia Desemba 26, mwaka huu ili kupisha mchezo kati ya timu ya Taifa ya Zanzibar (Zanzibar Heroes) na timu ya...
TFF kuziondoa Simba, KMC Uwanja wa Uhuru Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeufungia uwanja wa Uhuru kutumika kwa michezo ya Ligi Kuu kutokana na kukosa vigezo vya kikanuni na Sheria ya mpira wa miguu. Taarifa hiyo...
Pacome, Sankara wachuana mbio za ufungaji CAFCL Pacome Zouzoua ameendelea kuongeza akaunti ya mabao kwa kufikisha matatu nyuma ya Sankara Karamoko wa Asec Mimosas mwenye mabao manne, kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga iliibuka...
Kiungo Mamelodi amjibu Mayele Baada ya ushindi wa bao 1-0 wa Mamelodi Sunsowns dhidi ya Pyramids FC iliyokuwa nyumbani kwenye Uwanja wa June 30, Cairo, Misri, mchezo wa nne wa kundi A, Ligi ya Mabingwa Afrika, kiungo wa...
ASEC yaifungulia Simba njia Caf Matumaini ya Simba kufuzu hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kundi B yamezidi kuwa hai baada ya ushindi wa Asec Mimosas ya Ivory Coast wa mabao 3-0 dhidi ya Jwaneng Gallaxy ya...