Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Inonga, Mayele uhakika Afcon 2023

Beki kisiki wa Simba, Henock Inonga na mshambuliaji wa zamani wa Yanga, Fiston Mayele anayekipiga Pyramid FC ya Misri, wamepenya kwenye kikosi cha mwisho wachezaji 24 wa timu ya taifa ya DR Congo kitakachoiwakilisha nchi hiyo kwenye fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon) 2023, zitakazofanyika Ivory Coast.

DR Congo ipo kundi F na timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Morocco na Zambia na fainali hizo zitaanza Januari 13 hadi Februari 14, 2024.
Makipa: Dimitry Bertaud, Siada Baggio na Lionel Mpasi
Mabeki: Inonga Baka, Rock Bushiri, Gédeon Kalulu, Chancel Mbemba, Dylan Batubinsika na Arthur Masuaku, Kayembe na Brian Bayeye.
Viungo: Meshack Elia, Théo Bongonda, Edo Kayembe, Gael Kakuta, Charles Pickel, Samuel Moutoussamy,  Aaron Tshibola, Silas Katompa na Grady Diangana.
Washambuliaji: Fiston Mayele, Cedric Bakambu, Yoane Wissa na Simon Banza