Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

971 results for Oscar Oscar :

  1. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Yanga itaiona tena nchi ya ahadi?

    LILIKUWA tukio la kuzaliwa na kufa kwa wakati mmoja katika pande mbili za shilingi. Ni pale wachezaji wa USMA Algiers walipoingia uwanjani kwa vurugu kupiga shangwe baada ya kipenga cha mwisho...

  2. NYUMA YA PAZIA: Messi kituo kifuatacho ni pensheni au nyumbani

    mkataba kama huu katika umri wa miaka 37. Huu utakuwa ni uamuzi wa kibiashara zaidi na hakuna ambaye atamlaumu Messi. Amebakiza nini Ulaya? Kuna vijana ambao waliwahi kukimbia Ulaya wakiwa na...

  3. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Shughuli ya Yanga imeishia kwa Mkapa?

    BAADA ya matokeo ya Jumapili iliyopita ya Yanga kupoteza nyumbani dhidi ya USM Alger ni rahisi kutabiri kwamba wamekosa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika. Matokeo hayo yanamaanisha Yanga...

  4. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Simba imekosea wapi tena msimu huu?

    NIMETAZAMA msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya mechi 28, sijaona ubovu wowote wa Simba. Nimetazama uwiano wa mabao ya kufunga na kufungwa, bado Simba inaonekana kuwa timu bora nchini. Ukitazama...

  5. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Nimemfikiria Bruno Gomes mara mbili

    BAADA ya Yanga kuwafunga Singida Big Stars katika mchezo wa Ligi Kuu katikati ya wiki iliyopita, Yanga walikuwa na sababu mbili au tatu za kufurahi. Kwanza walikuwa wamepata ushindi muhimu...

  6. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Ni kweli Simba amekufa kiume?

    SIMBA imetolewa katika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Wydad Casablanca. Huu ni muda wa Simba kurudi kuutazama mchoro upya. Ni muda wa kujipanga upya kwenye usajili. Ni muda wa...

  7. MAKALA MAALUM: Anguko la TP Mazembe - 2

    na mtu mmoja wa kuitwa Oscar Englebert. Kampuni hiyo ilikuwa kwenye harakati za kujitanua kibiashara na kuvuka mipaka ya nchi na bara lake kwa kutangaza bidhaa zake nje ya Ubelgiji na Ulaya...

  8. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Tusiibeze sana Ligi yetu, kuna mahali imesogea

    BADO mpira wetu una mapungufu mengi, wala tusiache kurekebisha. Bado mpira wetu una watu wengi tu wapigaji, wala tusikae kimya. Lakini kuna mahali tumepiga hatua. Kuna mahali tumesogea.

  9. Huyu ndiye Blue Ivy Carter, kula chuma hicho!

    inayotokana na kitabu hicho iliyoshinda tuzo ya Oscar 2021 kama filamu Fupi Bora ya Uhuishaji. Hair Love inasimulia hadithi ya Baba Mweusi ambaye anajifunza jinsi ya kunyoa nywele za binti...

  10. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Hichi ndicho kilichoiua Yanga

    IMEWALAZIMU Simba kusubiri miaka minne kupata ushindi mbele ya Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Katika hiyo miaka minne walipata ushindi katika Kombe la Shirikisho la Azam, lakini katika...

Previous

Page 20 of 98

Next