Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

24726 results for tanzania :

  1. Mbeya yaingilia kati Prisons na Ken Gold

    WAKATI Tanzania Prisons na Ken Gold zikiendelea kuchechemea kwenye Ligi Kuu, chama cha soka mkoani Mbeya (Mrefa) kimezitaka timu hizo kutekeleza ushauri wa kamati ya mashindano ili kukwepa...

    Mbeya Pict
  2. Msuva na matarajio Afcon 2025

    Mshambuliaji mahiri wa Taifa Stars, Simon Msuva ameendelea kudhihirisha umuhimu wake kwa soka la Tanzania kwa mabao yake muhimu katika safari ya kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON).

  3. 2024 ulivyokuwa shubiri kwa Gamondi, Benchikha na Aussems

    Mwaka 2024 unakwenda ukingoni, ukiangalia mshikemshike wa Ligi Kuu Bara umekuwa na mambo mengi. Katika kipindi cha mwaka mzima kuanzia Januari 2024 hadi Desemba 2024, timu 17 za ligi hiyo kati ya...

  4. Diamond, Erick Omondi kimewaka

    STAA wa Bongofleva, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz amemjibu msanii wa vichekesho nchini Kenya, Erick Omondi kufuatia kauli yake kuwa wasanii wanapendelewa wakifanya shoo nchini humo.

    Omondi Pict
  5. Miaka 63 ya kibabe michezoni

    LEO ni Desemba 9. Hii ni siku muhimu kwa Watanzania hasa wa Tanzania Bara (zamani Tanganyika) ambao wanasherehekea Miaka 63 ya Uhuru tangu ilipojikomboa kutoa kwa Koloni la Kiingereza tarehe...

    Uhuru Pict
  6. Dakika 5 tu, zaitibulia Simba Algeria

    MABAO mawili yaliyofungwa ndani ya dakika tano za kipindi cha pili, yaliitibulia Simba kutoka na ushindi ugenini baada ya kufungwa 2-1 na CS Constantine katika mechi ya raundi ya pili ya Kombe la...

    Simba Pict
  7. Serengeti Boys yaanza hesabu Afcon U17

    KIKOSI cha Serengeti Boys, kinaendelea na maandalizi yake kwa ajili ya michuano ya kufuzu kwa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) U17 kwa kanda ya CECAFA, itakayofanyika kuanzia Desemba 14 hadi...

    Serengeti Pict
  8. SIO ZENGWE: Kwanini haikuwa sahihi kumtimua Gamondi

    BILA shaka mtu anayeumiza kichwa zaidi kwa sasa ni kocha Saed Ramovich, baada ya timu anayoinoa ya Yanga kupoteza mechi mbili kati ya tatu zilizopita, vipigo ambavyo ni vya kuanzia mabao mawili...

    Zengwe Pict
  9. PRIME Siri imefichuka... Yanga ilikwama hapa, Aziz KI atajwa

    YANGA imepoteza mechi ya pili mfululizo ya Kundi A katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kucharazwa mabao 2-0 na MC Alger ya Algeria katika mechi iliyopigwa ugenini, ikiwa ni wiki...

    Yanga Pict
  10. Kapilima mambo magumu KenGold

    KOCHA wa KenGold, Omary Kapilima amekiri timu hiyo kupitia kipindi kigumu baada ya kushuhudia ikiondolewa hatua ya 64 Bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho na Mambali FC ya Tabora, ikiwa ni...

    Kapilima Pict
Previous

Page 180 of 2473

Next