Tonali ageuka habari ya mjini Ulaya VIGOGO wa soka Ulaya wamezidi kuongezeka kuhitaji kumsajili kiungo wa Newcastle United, Sandro Tonali baada ya Real Madrid kuungana na Arsenal, Manchester City, Manchester United na Arsenal.
Kisa mshahara wa Messi, Inter Miami yasaka wadhamini MABOSI wa Inter Miami wanapambana kutafuta wadhamini watakaowekeza katika timu yao kutokana na gharama kubwa za uendeshaji wa klabu zinazowakabili ikiwamo mshahara wa Lionel Messi.
Wembanyama avunja rekodi NBA, mkataba mnono na ndoto ya ubingwa KATIKA mpira wa Ligi ya Kikapu Marekani (NBA), ni ngumu kuona mchezaji anayevutia macho ya wadau na mashabiki wengi kwa muda mfupi kama ilivyo kwa Victor Wembanyama maarufu Wemby. Unajua kwanini?
Man United sharti icheze Ligi ya Mabingwa Ulaya ili kufanikisha hili MANCHESTER United italazimika kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya kama kweli inataka kuwa na nafasi ya kuwasajili viungo wawili matata kabisa wa England, Elliot Anderson na Adam Wharton.
Liam Rosenior amjaza upepo Joao Pedro KOCHA wa Chelsea, Liam Rosenior amesema hawezi kubadilishana mshambuliaji mwenye moto, Joao Pedro na mchezaji yeyote duniani.
Evra awakaanga magwiji Man United wanaomkosoa Michael Carrick PATRICE Evra amewakosoa wachezaji wa zamani wa Manchester United kwa kile alichokiita uchambuzi wa hovyo dhidi ya kocha Michael Carrick, ambaye kwa sasa anafanya kazi ya kuinoa kwa muda miamba...
Napoli kuwabania vigogo England kwa McTominay NAPOLI inadaiwa kuanza mazungumzo na wawakilishi wa kiungo kimataifa wa Scotland, Scott McTominay, 29.
Kipa Singida BS atuma ujumbe baada ya kufutiwa tuhuma za upangaji matokeo MUDA mfupi baada ya Singida Black Stars kutangaza kumuondolea adhabu ya kumsimamisha kwa kipindi cha miezi mitatu kutokana na tuhuma za upangaji matokeo kipa wa kikosi hicho, Amas Obasogie...
Gabriel ajibu tuhuma Arsenal BEKI wa kati wa Arsenal, Gabriel Magalhaes amesema hawajali kabisa madai ya kocha wa Brighton, Fabian Hurzeler, kuhusu kupoteza muda makusudi wakati wa mchezo kwenye Ligi Kuu England msimu huu.
Mpishi amfungulia kesi Neymar SUPASTAA, Neymar anakabiliwa na kesi ya kisheria kutoka kwa mpishi wake binafsi ambaye anadai fidia ya fedha baada ya kulazimishwa kufanya kazi hadi saa 16 kwa siku na wakati mwingine kupika...