Pogba wa Zenji aibukia KMC KIUNGO mshambuliaji wa Mlandege, Juma Kidawa ‘Pogba’ aliyekuwa akihusishwa kutua Azam FC, ameibukia KMC kwa kusainishwa mkataba wa miaka ili kuitumikia timu hiyo inayopambana kujiweka katika...
Man United ugonjwa upo eneo hili! KITU kimoja tu kuhusu Manchester United, imechosha. Wote wanaichukulia kama klabu kubwa zaidi England na kwa hoja nzuri, pia inaweza kuwa ya kwanza au ya pili kwa ukubwa duniani.
Huyu Gallagher? Spurs watampenda tu MASHABIKI wa Tottenham Hotspur wameelezwa kwamba watampenda mara moja kiungo mchapakazi Conor Gallagher bila kujali historia yake Chelsea.
Vinicius Jr, Madrid waanza kujadili mkataba mpya REAL MADRID wameanza mazungumzo ya kumuongeza mkataba wa nyota wa kimataifa wa Brazil, Vinicius Junior, 25, ikiwa ni siku chache baada ya kuondoka kocha Xabi Alonso ambaye inadaiwa kuwa hakuwa...
Senegal yawasilisha malalamiko manne CAF ikijiandaa na fainali AFCON SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu la Senegal (FSF), limewasilisha malalamiko mazito kuhusu namna timu ya taifa ya Senegal inavyotendewa nchini Morocco kuelekea fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika...
Waafrika wanavyoitolea macho Ballon d'Or 2026 IMEPITA zaidi ya miaka 30 tangu George Weah awe Mwafrika wa kwanza kushinda Ballon d’Or.
Fainali ya AFCON 2025; Senegal wanaye Mane, Morocco yupo Brahim HAYAWI hayawi, ndiyo hivyo yamekuwa sasa. Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) TotalEnergies Morocco 2025 itachezwa kati ya Senegal na wenyeji Morocco siku ya Jumapili, Januari 18 katika...
Azam FC, Coastal Union kazi ipo Chamazi UHONDO wa Ligi Kuu Bara unaendelea tena usiku wa leo kwa kupigwa mechi moja ya kiporo kati ya wanafainali wa Kombe la Mapinduzi 2026, Azam FC na Wagosi wa Kaya, Coastal Union.