Mashabiki Simba wabebeshwa faini ya CAF Ahmed alisema kuwa mchango huo utumwe moja kwa moja katika namba ya klabu.
Yannick Bangala avunja mkataba Azam KIUNGO mkongwe Yannick Bangala amevunja mkataba na klabu ya Azam baada ya kupishana na kocha wake Rached Taoussi.
Caf yaishushia rungu Simba, kuivaa Constantine bila mashabiki SIMBA SC itacheza mechi yake ya Jumapili wiki hii Januari 19, 2025 dhidi ya CS Constantine bila ya mashabiki kufuatia adhabu iliyopewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF).
Baleke ndo basi tena Yanga SIKU chache baada ya Mwanaspoti kuweka bayana kwamba straika wa Yanga, Mkongomani Jean Baleke amekalia kuti kavu katika kikosi hicho, sasa imethibitishwa kwamba ndoa ya pande hizo mbili imeisha...
Mbadala wa Saka ni huyu ARSENAL huenda ikamsajili mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Randal Kolo-Muani, katika dirisha lijalo kwa ajili ya kuziba pengo la staa wao Bukayo Saka.
Nidhamu yatajwa sababu Rashford kutemwa mechi tatu IMEPITA miaka miwili tangu Marcus Rashford aachwe katika kikosi cha Manchester United kilichocheza dhidi ya Wolves chini ya kocha Erik ten Hag baada ya kuchelewa kwenye mkutano wa timu.
Van Dijk kutundika daruga bado sana! BEKI wa Liverpool, Virgil van Dijk amedai kuwa ana “miaka mitatu au minne” mbele ya kucheza soka la kiushindani wakati mkataba wake wa sasa ukitarajiwa kumalizika mwisho wa msimu.
Leroy Sane kutikisa vigogo Ulaya LISEMWALO ni kwamba Manchester United na Chelsea zinatajwa kupigana vikumbo chinichini kwenye vita ya kusaka saini ya staa wa Bayern Munich, Leroy Sane.
Man United yavunja rekodi chafu tu MANCHESTER United imeendelea kukusanya rekodi za hovyo kwenye Ligi Kuu England baada ya kukubali kipigo kutoka kwa Bournemouth juzi Jumapili.
Kumekucha! Yanga kubomoa kamati ya mashindano BAADA tu ya kutolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika, vigogo wa Yanga waliitana haraka na kufanya tathmini ya kile ambacho kimewakwamisha na kupitia kikao hicho yapo waliyoyabaini na kuna maamuzi...