Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8703 results for Mwandishi :

  1. Mashabiki Simba wabebeshwa faini ya CAF

    Ahmed alisema kuwa mchango huo utumwe moja kwa moja katika namba ya klabu.

  2. Yannick Bangala avunja mkataba Azam

    KIUNGO mkongwe Yannick Bangala amevunja mkataba na klabu ya Azam baada ya kupishana na kocha wake Rached Taoussi.

    Bangala Pict
  3. Caf yaishushia rungu Simba, kuivaa Constantine bila mashabiki

    SIMBA SC itacheza mechi yake ya Jumapili wiki hii Januari 19, 2025 dhidi ya CS Constantine bila ya mashabiki kufuatia adhabu iliyopewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF).

    Simba Ku Pict
  4. Baleke ndo basi tena Yanga

    SIKU chache baada ya Mwanaspoti kuweka bayana kwamba straika wa Yanga, Mkongomani Jean Baleke amekalia kuti kavu katika kikosi hicho, sasa imethibitishwa kwamba ndoa ya pande hizo mbili imeisha...

    Baleke Pict
  5. Mbadala wa Saka ni huyu

    ARSENAL huenda ikamsajili mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Randal Kolo-Muani, katika dirisha lijalo kwa ajili ya kuziba pengo la staa wao Bukayo Saka.

  6. Nidhamu yatajwa sababu Rashford kutemwa mechi tatu

    IMEPITA miaka miwili tangu Marcus Rashford aachwe katika kikosi cha Manchester United kilichocheza dhidi ya Wolves chini ya kocha Erik ten Hag baada ya kuchelewa kwenye mkutano wa timu.

  7. Van Dijk kutundika daruga bado sana!

    BEKI wa Liverpool, Virgil van Dijk amedai kuwa ana “miaka mitatu au minne” mbele ya kucheza soka la kiushindani wakati mkataba wake wa sasa ukitarajiwa kumalizika mwisho wa msimu.

  8. Leroy Sane kutikisa vigogo Ulaya

    LISEMWALO ni kwamba Manchester United na Chelsea zinatajwa kupigana vikumbo chinichini kwenye vita ya kusaka saini ya staa wa Bayern Munich, Leroy Sane.

  9. Man United yavunja rekodi chafu tu

    MANCHESTER United imeendelea kukusanya rekodi za hovyo kwenye Ligi Kuu England baada ya kukubali kipigo kutoka kwa Bournemouth juzi Jumapili.

  10. Kumekucha! Yanga kubomoa kamati ya mashindano

    BAADA tu ya kutolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika, vigogo wa Yanga waliitana haraka na kufanya tathmini ya kile ambacho kimewakwamisha na kupitia kikao hicho yapo waliyoyabaini na kuna maamuzi...

Previous

Page 171 of 871

Next