Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7940 results for Mwandishi Wetu :

  1. Kocha KMC FC akiri mambo magumu Ligi Kuu

    BAADA ya sare ya bao 1-1 ugenini dhidi ya Coastal Union, kocha Mkuu wa KMC, Mohammed Abdallah ‘Bares’ amesema kikosi chake bado kina hali ngumu, hivyo kinaendelea kupambana kujiondoa mkiani huku...

    BARES Pict
  2. Siku 19 baada ya ajali, AJ atangaza kurudi ulingoni

    BONDIA wa ngumi za uzito wa juu duniani kutoka England, Anthony Joshua amepanga kurejea ulingoni kuzichapa katika mchezo utakaochezwa wakati wowote mwaka huu, ingawa hadi sasa haijafahamika kambi...

    MWAMBA Pict
  3. Yanga yarejea kileleni, Depu aendelea kutupia

    KIKOSI cha Yanga, kimeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Dodoma Jiji katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa leo Jumanne Januari 27, 2026 kwenye Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge jijini...

  4. Mikataba yamnyima  staa fura ya kucheza

    WAKATI wachezaji wakiwa katika maandalizi ya kuanza kwa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) 2026, nyota wa mchezo nchini, Jimmy Brown, ametaja sababu zilizomfanya asicheze michuano hiyo...

    MIKATABA Pict
  5. Schumacher majeruhi lakini hayupo kitandani

    GWIJI wa mashindano ya Formula One (F1), Michael Schumacher ambaye alipata ajali mbaya katika mchezo wa kuteleza kwenye theluji miaka 12 iliyopita anaripotiwa kuwa siyo mgonjwa wa kulazwa...

    SHUMA Pict
  6. Ramos yupo pazuri kuinunua Sevilla

    SERGIO Ramos ameongeza dau kubwa la fedha kwa lengo la kuinunua klabu yake ya zamani, Sevilla.

    RAMOS Pict
  7. Kwanini wafupi ni mastaa wakicheza namba moja?

    KWA kawaida mchezo wa kikapu umezoeleka ili kuucheza ni lazima uwe na mwili mkubwa, hususan urefu.

    KIKAPU Pict
  8. Azam FC, Singida Black Stars zilivyoruka kiunzi CAF

    UKIZIONDOA Simba na Yanga zenye rekodi ya kufanya vizuri katika Kombe la Shirikisho Afrika hadi kucheza fainali, hakukuwa na timu nyingine ya Tanzania iliyowahi kupata ushindi hatua ya makundi ya...

    SHIRIKISHO Pict
  9. Harry Kane mezani kwake dili ni kubaki Bayern

    STRAIKA, Harry Kane yuko kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba wake Bayern Munich, jambo linalozima matumaini ya klabu zilizokuwa zikivizia kipengele chake cha kuachiliwa kwa bei nafuu.

    KANE Pict
  10. Ubabe wa Pistons, Rockets kwa wakubwa NBA 2026

    KATIKA msimu unaoendelea wa Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Marekani (NBA), timu za Detroit Pistons, Houston Rockets na Oklahoma City Thunder zimejitokeza kuwa na rekodi bora zaidi katika michezo...

    NBA Pict
Previous

Page 167 of 794

Next