Kocha KMC FC akiri mambo magumu Ligi Kuu BAADA ya sare ya bao 1-1 ugenini dhidi ya Coastal Union, kocha Mkuu wa KMC, Mohammed Abdallah ‘Bares’ amesema kikosi chake bado kina hali ngumu, hivyo kinaendelea kupambana kujiondoa mkiani huku...
Siku 19 baada ya ajali, AJ atangaza kurudi ulingoni BONDIA wa ngumi za uzito wa juu duniani kutoka England, Anthony Joshua amepanga kurejea ulingoni kuzichapa katika mchezo utakaochezwa wakati wowote mwaka huu, ingawa hadi sasa haijafahamika kambi...
Yanga yarejea kileleni, Depu aendelea kutupia KIKOSI cha Yanga, kimeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Dodoma Jiji katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyochezwa leo Jumanne Januari 27, 2026 kwenye Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge jijini...
Mikataba yamnyima staa fura ya kucheza WAKATI wachezaji wakiwa katika maandalizi ya kuanza kwa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) 2026, nyota wa mchezo nchini, Jimmy Brown, ametaja sababu zilizomfanya asicheze michuano hiyo...
Schumacher majeruhi lakini hayupo kitandani GWIJI wa mashindano ya Formula One (F1), Michael Schumacher ambaye alipata ajali mbaya katika mchezo wa kuteleza kwenye theluji miaka 12 iliyopita anaripotiwa kuwa siyo mgonjwa wa kulazwa...
Ramos yupo pazuri kuinunua Sevilla SERGIO Ramos ameongeza dau kubwa la fedha kwa lengo la kuinunua klabu yake ya zamani, Sevilla.
Kwanini wafupi ni mastaa wakicheza namba moja? KWA kawaida mchezo wa kikapu umezoeleka ili kuucheza ni lazima uwe na mwili mkubwa, hususan urefu.
Azam FC, Singida Black Stars zilivyoruka kiunzi CAF UKIZIONDOA Simba na Yanga zenye rekodi ya kufanya vizuri katika Kombe la Shirikisho Afrika hadi kucheza fainali, hakukuwa na timu nyingine ya Tanzania iliyowahi kupata ushindi hatua ya makundi ya...
Harry Kane mezani kwake dili ni kubaki Bayern STRAIKA, Harry Kane yuko kwenye mazungumzo ya kuongeza mkataba wake Bayern Munich, jambo linalozima matumaini ya klabu zilizokuwa zikivizia kipengele chake cha kuachiliwa kwa bei nafuu.
Ubabe wa Pistons, Rockets kwa wakubwa NBA 2026 KATIKA msimu unaoendelea wa Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Marekani (NBA), timu za Detroit Pistons, Houston Rockets na Oklahoma City Thunder zimejitokeza kuwa na rekodi bora zaidi katika michezo...