Real Madrid yapiga hesabu hizi kwa Haaland MABOSI wa Real Madrid wamewasiliana na kambi ya Erling Haaland ili kuangalia uwezekano wa kumsajili, huku ripoti zikidai kabla ya kufanikisha hilo wanataka kwanza kumuuza staa wao wa kimataifa wa...
Isak, kocha Howe wamenuniana STRAIKA Alexander Isak amefichua hajazungumza na Kocha Eddie Howe tangu alipohama Newcastle United na kwenda kujiunga na Liverpool.
Steven Gerrard hana kazi, kakataa kazi KOCHA wa zamani wa Aston Villa, Steven Gerrard amejiondoa katika kinyang’anyiro cha kuwa kocha mkuu wa Rangers baada ya kuwaambia mabosi wa timu hiyo wakati huu sio sahihi.
Shughuli imeisha, mwamba karudi nyumbani Kocha mkongwe Jose Mourinho amerudi tena nyumbani, baada ya kutangazwa rasmi kuwa kocha mpya wa Benfica, klabu kubwa ya Ureno ambayo aliwahi kuinoa kwa muda mfupi mwaka 2000.
Wachambuzi wampa Dembele Ballon d’Or MALEJENDI Thierry Henry na Jamie Carragher wameweka wazi wachezaji ambao wanawapa nafasi kubwa ya kushinda tuzo ya Ballon d’Or ya mwaka 2025 kuelekea sherehe za tuzo hizo zinazotarajiwa...
Kisa Sterling, Chelsea yapigiwa simu kali CHAMA cha Wachezaji wa Soka wa Kulipwa (PFA) kinaripotiwa kuwa katika mazungumzo na Chelsea kuhusu jinsi wanavyowatendea wachezaji waliotengwa Raheem Sterling na Axel Disasi.
Liverpool haishikili EPL, yaweka rekodi hii LIVERPOOL imeendelea kugawa dozi katika Ligi Kuu England ikifanikiwa kushinda mchezo wa tano mfululizo msimu huu baada ya kuifunga Everton mabao 2-1 katika dabi ya Jiji la Liverpool na kuweka...
Isak, Gyokeres waiponza Sweden STRAIKA, Alexander Isak amefichua hasira zaidi baada ya Sweden kushindwa kufanya vizuri kwenye mechi za kufuzu Kombe la Dunia licha ya kuwa na fowadi ya kiwango cha dunia.
Tuchel kumweka kikao Jude Bellingham KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel ameweka wazi kwamba atakaa kikao na staa wa Real Madrid, Jude Bellingham kujadili mustakabali wake katika kikosi cha timu hiyo.
Tajiri Brooklyn Earick akataa kuiuza Tottenham TAJIRI Brooklyn Earick ameamua kuondoa rasmi ofa yake ya Pauni 4.5 bilioni ya kuinunua klabu ya Tottenham Hotspur, baada ya familia ya Lewis kusisitiza hawatoiuza kwa pesa yoyote ile.