Coutinho kuvunja mkataba Vasco da Gama INASIKITISHA. Kiungo Philippe Coutinho aliyewahi kuwa miongoni mwa wachezaji ghali zaidi katika historia ya soka ana hali mbaya akiwa na klabu ya Vasco da Gama ambako mashabiki wamekuwa...
Liverpool yapata pigo kisa kiungo LIVERPOOL imepata pigo kubwa baada ya kumpoteza kiungo wao Wataru Endo kutokana na jeraha kubwa alilopata katika mechi ya Ligi Kuu England dhidi ya Sunderland wiki iliyopita.
Tajiri Leon Cooperman anunua hisa Man United MFANYABIASHARA wa Marekani Leon Cooperman amenunua hisa zaidi za Manchester United, lakini hana mpango wa kuchukua umiliki kamili wa klabu hiyo.
VITA BADO MBICHI: Sare ya Arsenal kicheko kwa Man City SARE ya mabao 2-2 dhidi ya Wolves ugenini, imezidisha utamu katika mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu England, baada ya Arsenal kudondosha pointi mbili na kufanya pengo dhidi ya wapinzani wao wa...
Kwa nini ni wakati sahihi kwa TFF kupata mshirika wa kamari? Wadau wa soka wanasema kuwa sasa ni wakati mwafaka kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kushirikiana rasmi na kampuni ya kamari kama sehemu ya jitihada za kuhuisha uongozi na kufungua vyanzo...
Arsenal yateleza, Manchester City yapata pumzi mpya EPL Sare ya mabao 2-2 kati ya Arsenal na Wolverhampton imeacha maumivu makubwa kwa mashabiki wa Arsenal, hasa ikizingatiwa uzito wa alama zilizopotea katika nyakati muhimu msimu wa Premier League.
Ngoma nzito: Hapa Mkongomani, kule Saleh Karabaka LIGI Kuu Bara imesimama kupisha mechi za Kombe la Shirikisho (FA), lakini kama hujui ni kwamba hadi sasa zimeshachezwa mechi 102 kati ya 240, huku ikishuhudiwa mabao 185 kati ya 188 yakitinga...
Wilfred Kidao apata shavu TRA United ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wilfred Kidao, ni miongoni mwa wajumbe nane wanaounda Bodi ya Usimamizi wa TRA United SC inayoongozwa na Mwenyekiti wake...
Manchester United yatoa msimamo kuhusu Rashford MANCHESTER United imesisitiza kuwa haina mpango wa kushusha bei ya Pauni 26 milioni iliyoiweka kwa mshambuliaji wa kimataifa wa England, Marcus Rashford, 28, ambaye kwa sasa yuko kwa mkopo...