Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8678 results for Mwandishi :

  1. Mastaa Chelsea kila mtu anauzwa

    KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amesema kwenye kikosi chake hicho cha Stamford Bridge hakuna mchezaji yeyote ambaye yupo salama kwa maana ya kupigwa bei katika kipindi hiki dirisha la usajili...

  2. Alexander Isak, Liverpool muda utaamua

    STRAIKA wa Newcastle United, Alexander Isak amekoleza moto wa kuwa kwenye rada za Liverpool huku mwenyewe akiwahi kukiri kuvutiwa na mpango wa kwenda kukipiga huko Anfield.

    ISAAK Pict
  3. Matheus Cunha ameshatua kuwashika

    MANCHESTER United imetangaza ujio wa staa mpya kikosini, Matheus Cunha.

    CUNHA Pict
  4. Arteta apata pigo, kumpoteza kamanda

    KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta anaripotiwa kupata pigo baada ya kuripotiwa kwamba atampoteza mtu muhimu kwenye benchi lake la ufundi katika dirisha hili la majira ya kiangazi.

    ARTETA Pict
  5. Amorim aanza mikakati ya usajili Man United

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim inadaiwa tayari ameshaingia chaka na kuanza kusuka upya kikosi chake na ameanza na safu ya ushambuliaji.

    AMORIM Pict
  6. Nunez aiweka mtegoni Liverpool

    LIVERPOOL itatakiwa kuilipa Benfica kiasi cha ziada cha Pauni 4.3 milioni ikiwa straika Darwin Nunez ataanza tena mechi ya Ligi Kuu England msimu huu, imeripotiwa.

  7. De Bruyne mawazo yote Marekani

    KIUNGO Kevin De Bruyne ameweka wazi mipango yake ya kuachana na Manchester City huku uliopo mezani ni kwenda kujiunga na klabu ya San Diego ya Ligi Kuu Marekani, imeelezwa.

  8. Amorim anamtaka fundi Trincao aje

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amepanga kufanya usajili wa winga wa Sporting Lisbon, Trincao kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi huku Mreno huyo akidaiwa kuuzwa Pauni 35 milioni.

    AMORIM Pict
  9. Madrid, Trent ishu yao iko hivi

    REAL Madrid inataka kufanya fasta kwenye usajili wa beki wa kulia wa Liverpool, Trent Alexander-Arnold ili inase huduma yake kabla ya kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia la klabu.

  10. King Salah ni rekodi baada ya rekodi England

    IKIWA ni siku chache tangu asaini mkataba mpya, mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah amewekea rekodi nyingine katika Ligi Kuu England.

    KING Pict
Previous

Page 137 of 868

Next