Mastaa Chelsea kila mtu anauzwa KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amesema kwenye kikosi chake hicho cha Stamford Bridge hakuna mchezaji yeyote ambaye yupo salama kwa maana ya kupigwa bei katika kipindi hiki dirisha la usajili...
Alexander Isak, Liverpool muda utaamua STRAIKA wa Newcastle United, Alexander Isak amekoleza moto wa kuwa kwenye rada za Liverpool huku mwenyewe akiwahi kukiri kuvutiwa na mpango wa kwenda kukipiga huko Anfield.
Matheus Cunha ameshatua kuwashika MANCHESTER United imetangaza ujio wa staa mpya kikosini, Matheus Cunha.
Arteta apata pigo, kumpoteza kamanda KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta anaripotiwa kupata pigo baada ya kuripotiwa kwamba atampoteza mtu muhimu kwenye benchi lake la ufundi katika dirisha hili la majira ya kiangazi.
Amorim aanza mikakati ya usajili Man United KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim inadaiwa tayari ameshaingia chaka na kuanza kusuka upya kikosi chake na ameanza na safu ya ushambuliaji.
Nunez aiweka mtegoni Liverpool LIVERPOOL itatakiwa kuilipa Benfica kiasi cha ziada cha Pauni 4.3 milioni ikiwa straika Darwin Nunez ataanza tena mechi ya Ligi Kuu England msimu huu, imeripotiwa.
De Bruyne mawazo yote Marekani KIUNGO Kevin De Bruyne ameweka wazi mipango yake ya kuachana na Manchester City huku uliopo mezani ni kwenda kujiunga na klabu ya San Diego ya Ligi Kuu Marekani, imeelezwa.
Amorim anamtaka fundi Trincao aje KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amepanga kufanya usajili wa winga wa Sporting Lisbon, Trincao kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi huku Mreno huyo akidaiwa kuuzwa Pauni 35 milioni.
Madrid, Trent ishu yao iko hivi REAL Madrid inataka kufanya fasta kwenye usajili wa beki wa kulia wa Liverpool, Trent Alexander-Arnold ili inase huduma yake kabla ya kuanza kwa michuano ya Kombe la Dunia la klabu.
King Salah ni rekodi baada ya rekodi England IKIWA ni siku chache tangu asaini mkataba mpya, mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah amewekea rekodi nyingine katika Ligi Kuu England.