Yona Amosi alivyoitikisa miamba ya Kariakoo Kipa wa Pamba Jiji, Yona Amosi ni miongoni mwa walinda milango bora kwa sasa katika Ligi Kuu Bara akionesha mwendelezo wa makali yake anapokuwa kwenye milingoti mitatu, kiwango kilichozishawishi...
Bernardo Silva ni bure, kigogo Saudia atajwa KIUNGO wa kimataifa wa Ureno anayeichezea Manchester City, Bernardo Silva, mwenye umri wa miaka 31, anatarajiwa kuondoka katika viunga vya Etihad wisho wa msimu ambapo mkataba wake unatarajiwa...
Ratiba ngumu ya Mayweather yaahirisha pambano na Mike Tyson PAMBANO la Floyd Mayweather Jr na Mike Tyson lililotarajiwa kufanyika mapema mwaka huu inadaiwa kuahirishwa kutokana na ratiba ngumu ya Mayweather kwa mwaka huu.
Guardiola alia na ratiba EPL KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola ameikosoa vikali ratiba ya soka nchini England, akidai mashindano ya vikombe vya ndani yanaonekana kupewa kipaumbele zaidi kuliko ratiba za michuano ya...
Kuhusu Madrid, Klopp ukweli ni huu MUSTAKABALI wa Kocha Jurgen Klopp kwa mara nyingine umeanza kuzua mjadala mkubwa baada ya ripoti mbalimbali kudai anafikiria kurejea tena kwenye benchi la ufundi baada ya kupewa ofa ya ajira na...
Tonali ageuka habari ya mjini Ulaya VIGOGO wa soka Ulaya wamezidi kuongezeka kuhitaji kumsajili kiungo wa Newcastle United, Sandro Tonali baada ya Real Madrid kuungana na Arsenal, Manchester City, Manchester United na Arsenal.
Kisa mshahara wa Messi, Inter Miami yasaka wadhamini MABOSI wa Inter Miami wanapambana kutafuta wadhamini watakaowekeza katika timu yao kutokana na gharama kubwa za uendeshaji wa klabu zinazowakabili ikiwamo mshahara wa Lionel Messi.
Wembanyama avunja rekodi NBA, mkataba mnono na ndoto ya ubingwa KATIKA mpira wa Ligi ya Kikapu Marekani (NBA), ni ngumu kuona mchezaji anayevutia macho ya wadau na mashabiki wengi kwa muda mfupi kama ilivyo kwa Victor Wembanyama maarufu Wemby. Unajua kwanini?
Man United sharti icheze Ligi ya Mabingwa Ulaya ili kufanikisha hili MANCHESTER United italazimika kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya kama kweli inataka kuwa na nafasi ya kuwasajili viungo wawili matata kabisa wa England, Elliot Anderson na Adam Wharton.
Liam Rosenior amjaza upepo Joao Pedro KOCHA wa Chelsea, Liam Rosenior amesema hawezi kubadilishana mshambuliaji mwenye moto, Joao Pedro na mchezaji yeyote duniani.