Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

3982 results for Mwandishi Wetu :

  1. Victoria: Mke wa bosi na yeye ni bosi

    CHUKUA pesa za mke wa Wayne Rooney, Mrembo Coleen. Changanya na pesa za mke wa Jamie Vardy, mrembo Rebekah, weka pamoja. Unaambiwa hivi, bado hawamfikii na wameachwa kwa mbali sana.

    ATM Pict
  2. Peter Kenyon afichua tatizo lilipo Man United

    KURUGEZNI Mtendaji Mkuu wa zamani wa Mkuu wa Manchester United, Peter Kenyon ametania kwamba familia ya Glazer “Inapaswa kupigwa risasi” kwa kitendo cha kushuhudia timu hiyo ya Old Trafford...

    PETER Pict
  3. Shearer: Arteta anajifukuzisha!

    GWIJI wa Ligi Kuu England, Alan Shearer anaamini kocha Mikel Arteta anatafuta mwenyewe njia ya kujiweka kwenye presha ya kufutwa kazi kwenye klabu ya Arsenal baada ya kushindwa kuifanya timu hiyo...

    ARTETA Pict
  4. Antony ahama na kijiji Real Betis

    MASHABIKI wa Real Madrid wametamba kwamba mzuka wa winga wa Kibrazili, Antony umechangia timu hiyo kuvuruga mipango ya Real Madrid katika mbio za ubingwa wa La Liga msimu huu.

    Antony Pict
  5. PRIME Dabi ya Machi 8 Simba 1, Yanga 1

    MASHABIKI wa soka hususani wa Simba na Yanga kwa sasa wanahesabu siku tu, kabla ya kuzishuhudia timu hizo zikishuka uwanjani katika pambano la marudiano la Dabi ya Kariakoo.

    DABI Pict
  6. JKT Tanzania, Tabora United mzigoni tena

    KIVUMBI cha Kombe la Shirikisho (FA) kinaendelea tena leo kwa mechi sita tofauti, wakati timu 12 zitakapokuwa zikiwania kusaka tiketi ya 16 Bora kuungana na timu zilizotangulia kutokana na mechi...

    LIGI Pict
  7. Lookman anauzwa nje ya Italia

    KLABU za Ligi Kuu England zitapigana vikumbo kuwania huduma ya mkali wa Atalanta, Ademola Lookman baada ya klabu yake kufichua itakuwa tayari kumpiga bei nje ya Italia dirisha lijalo.

    LOOKMAN Pict
  8. Liverpool imeshika Pauni 120 milioni kumnasa Isak

    LIVERPOOL imeripotiwa kuwa na ufahamu straika anayemsaka kwenye dirisha lijalo la majira ya kiangazi atawagharimu mkwanja usiopungua Pauni 120 milioni.

    FUNUNU Pict
  9. Garnacho kuwanunulia msosi mastaa wenzake Man United

    KINDA wa Manchester United, Alejandro Garnacho atawanunulia chakula cha usiku wachezaji wenzake kama “adhabu” kutokana na kitendo chake cha kuondoka kabisa Old Trafford baada ya kutolewa kwenye...

    New Content Item (1)
  10. Solskjaer: Amorim? Tatizo siyo yeye

    OLE Gunnar Solskjaer amefichua na kusema anajua ni wapi penye shinda kwenye kikosi cha Manchester United kinachofanya hovyo chini ya Ruben Amorim na kudai sio kosa la kocha.

Previous

Page 122 of 399

Next