Pep Guardiola ahoji uwazi wa CAF kuhusu AFCON 2025 Meneja wa Manchester City, Pep Guardiola ameibua mjadala mpya kimataifa baada ya kuhoji uamuzi wa Shirikisho la Mpira wa (CAF) kubadili matokeo ya fainali ya AFCON 2025 na kuipa Morocco ubingwa...
Guinea yafufua sakata la AFCON 1976, utata wa Senegal wazua mjadala Shirikisho la Soka la Guinea limeibua upya mjadala mzito barani Afrika baada ya kuiandikia Shirikisho la Soka Afrika (CAF) likiitaka ipitie upya matokeo ya Kombe la Mataifa ya Afrika 1976...
Ligi kubwa Ulaya kinawaka leo, kesho BAADA ya Manchester United kukipiga jana, Ijumaa dhidi ya Bournemouth, Ligi Kuu ya England, inatarajiwa kuendelea tena leo, Jumamosi kwa mechi nne kupigwa huku vigogo wa ligi za Italia, Ufaransa,...
Adidas yazindua uzi wa mwisho wa Messi KAMPUNI ya vifaa vya michezo ya Adidas imezindua rasmi jezi za mwisho za Kombe la Dunia 2026 za nchji mbalimbali ikiwamo ya Argentina ambapo supastaa Lionel Messi anatarajiwa kuichezea kwa mara...
Navas kumfuata Messi Miami STAA wa zamani wa Real Madrid, Keylor Navas anaweza kujiunga na Lionel Messi katika kikosi cha Inter Miami kinachoshiriki Ligi Kuu Marekani maarufu Major League mwishoni mwa msimu huu.
Robo fainali CAFCL moto utawaka MICHUANO ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali inafikia tamati yake leo na kesho kwa kupigwa michezo yenye hadhi kubwa kwenye soka la Afrika.
Bruno Guimaraes, Manchester United kuna kitu MANCHESTER United inadaiwa kwamba ipo katika mazungumzo ya mwisho ya kumsajili nahodha wa Newcastle United na timu ya taifa ya Brazil, Bruno Guimaraes, 28, kwa ada inayokadiriwa kufikia Pauni 69.
Sare ya Simba yalinda rekodi ya Yanga Simba juzi Alhamisi, Machi 19, 2026 ililazimishwa sare ya bao 1-1 na Pamba Jiji katika mechi ya Ligi Kuu ya NBC iliyochezwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.
Cole akaribishwa Italia kwa kipigo BEKI wa zamani wa kushoto wa Chelsea na Arsenal, Ashley Cole ameanza vibaya katika kibarua chake cha kwanza kama kocha mkuu wa timu ya ya Cesena inayoshiriki Ligi Daraja la Pili Italia (Serie B).
Maguire ndani, Trent nje England KOCHA wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel, ametangaza kikosi cha wachezaji 35 wakiwemo watatu ambao hawajawahi kucheza mechi za kimataifa, huku beki wa Manchester United, Harry Maguire na...