Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

172 results for Mwandishi Maalum :

  1. MZEE WA UPUPU: Azam remontanda inawezekana, lakini!

    WAKIWA ugenini jijini Benghazi huko Libya, Azam FC walifungwa 3-0 na Al Akhdar SC ya huko, na kujiweka kwenye hatihati ya kufuzu raundi inayofuata ya Kombe la Shirikisho Afrika. Mashabiki wa...

  2. Ofisa Habari Azam FC amefungiwa kwa kusema ukweli

    WAKATI mwingine hii nchi ina mambo ya ajabu sana. Kuna watu wamejijengea ngome zao na hawataki kuguswa kabisa. Ni kama hawa watu wa mpira. Hivi majuzi imetoka taarifa ya kushtua ya Ofisa Habari...

  3. SIO ZENGWE: Kitenge, Kamwe, Priva watoa somo kwa waandishi

    MMWAMUZI msaidizi wa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya 2006, Ole Hermann Borgan aliyekuwa anajiandaa kwenda Paris kuchezesha mechi baina ya Barcelona na Arsenal, alichukuliwa picha na baadaye...

  4. MTU WA MPIRA: Tunawachukua kina Kamwe ila kuna tatizo

    Yanga imefanya uamuzi mgumu mapema wiki hii. Uamuzi wa kuwapa kazi vijana wawili kwenye kitengo chake cha habari. Ni Ally Kamwe na Priva Shayo. Ni vijana machachari katika soka la kisasa.

  5. Serengeti Girls kuonja tamu, chungu ya VAR Kombe la Dunia

    watakuwa wa kwanza kuonja tamu na chungu ya VAR kwa upande wa timu ya taifa katika historia ya mpira wa miguu Tanzania. Ni wazi kuwa kuna baadhi ya wachezaji wa Tanzania tayari wameonja maamuzi ya...

  6. MTU WA MPIRA: Hata Dunia hii ingemshangaa kiaina beki Joash Onyango

    NILISIKIA beki Joash Onyango alitaka kuondoka Simba. Niliamini zaidi baada ya kusoma Mwanaspoti ilipoandika habari yake. Ilikuwa ni ukweli mtupu. Lakini nilithibitisha baada ya Onyango kushindwa...

  7. MZEE WA UPUPU: Kwanini Azam FC haianzii raundi ya awali CAF?

    RAUNDI ya awali ya mashindano ya klabu barani Afrika, ilianza Ijumaa iliyopita, Septemba 9, 2022. Timu tatu za Tanzania ambazo zilicheza wikendi, zimeanzia raundi ya awali, kasoro timu moja tu...

  8. MTU WA MPIRA: Naam, Azam FC sasa imekubali kurudi njia kuu

    HATIMAYE Azam FC imekubali kushindana tena katika soka letu. Imekubali mchana kweupe. Inatia matumaini sasa. Kwa miaka mingi Azam imekuwa ikiendeshwa kienyeji kama timu isiyokuwa na malengo.

  9. MZEE WA UPUPU: Haikuwezekana Okwi, labda kwa Sakho

    MSIMU wa 2011/2012, mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi aling’ara sana tangu alipotua Tanzania mwaka 2009. Alimaliza Ligi Kuu Bara akiwa na mabao 12 yaliyoambatana na kiwango cha juu kwenye...

  10. Kanali Bakari atunukiwa nishani ya michezo Russia

    Wizara ya Ulinzi ya Jeshi la Shirikisho Urusi limemtunuku nishani kwa kuimarisha ushirikiano katika Majeshi Kimataifa Kanali Joseph Bakari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania nchini Urusi.

Previous

Page 12 of 18

Next