Ronaldo amaliza ubishi wa Messi STAA wa Al Nassr na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo amesema mjadala wa yeye na Lionel Messi juu ya nani bora hautokoma hata akifanikiwa kuchukua taji la Kombe la Dunia.
Wakufunzi watano freshi Arsenal ARSENAL imefikia makubaliano ya kuwasainisha mikataba mipya wakufunzi watano ambao ni sehemu ya benchi lao la ufundi chini ya kocha Mikel Arteta.
Bayern yaiweka patamu Arsenal kwa Kimmich MABOSI wa Bayern Munich wamesema tena kwa msisitizo hawataongeza ofa yao kwa Joshua Kimmich licha ya mazungumzo ya mkataba mpya kukwama.
Pep: Tukifuzu UEFA tunashukuru PEP Guardiola amesisitiza kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu yatakuwa mafanikio makubwa sana Manchester City.
Arsenal kufanya mabadiliko makubwa ARSENAL wametajwa kuwa na mpango wa kufanya maboresho makubwa katika kikosi chao kwa kusajili wachezaji wanne katika dirisha la uhamisho la majira ya kiangazi mwaka huu.
Guardiola alilia michuano ya UEFA KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola amesema mafanikio makubwa kwa kikosi chake kwa msimu huu ni kufuzu kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao.
Kompany, Kane waandika historia, Bayern ikitwaa ubingwa Bundesliga Bayern Munich wametangazwa kuwa Mabingwa wa Bundesliga msimu huu baada ya Bayern Leverkusen ambao walikuwa mabingwa watetezi kushindwa kupata matokeo mazuri dhidi ya Freiburg katika mchezo...
KMC yamfuta kazi Ongala, mwenendo mbovu wa timu watajwa Timu ya KMC ya Kinondoni, Dar es Salaam imeamua kuachana na kocha wake, Kally Ongala kutokana na mwenendo usioridhisha wa timu hiyo katika Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.
Liverpool yamtaka Kevin De Bruyne KIUNGO mchezeshaji wa Manchester City, Kevin De Bruyne amepata ofa ya kushtukiza ya kubaki kwenye Ligi Kuu England baada ya Liverpool kuhitaji huduma yake akakipige huko Anfield, imeelezwa.
Antony hashikiki huko Real Betis GWIJI wa Hispania, Joaquin amepanga "kumteka" Antony ili kumzuia winga huyo kurudi Manchester United.