Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8655 results for Mwandishi :

  1. Ronaldo amaliza ubishi wa Messi

    STAA wa Al Nassr na timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo amesema mjadala wa yeye na Lionel Messi juu ya nani bora hautokoma hata akifanikiwa kuchukua taji la Kombe la Dunia.

  2. Wakufunzi watano freshi Arsenal

    ARSENAL imefikia makubaliano ya kuwasainisha mikataba mipya wakufunzi watano ambao ni sehemu ya benchi lao la ufundi chini ya kocha Mikel Arteta.

    WAKUFUNZI Pict
  3. Bayern yaiweka patamu Arsenal kwa Kimmich

    MABOSI wa Bayern Munich wamesema tena kwa msisitizo hawataongeza ofa yao kwa Joshua Kimmich licha ya mazungumzo ya mkataba mpya kukwama.

    KIMICH Pict
  4. Pep: Tukifuzu UEFA tunashukuru

    PEP Guardiola amesisitiza kufuzu Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu yatakuwa mafanikio makubwa sana Manchester City.

  5. Arsenal kufanya mabadiliko makubwa

    ARSENAL wametajwa kuwa na mpango wa kufanya maboresho makubwa katika kikosi chao kwa kusajili wachezaji wanne katika dirisha la uhamisho la majira ya kiangazi mwaka huu.

    ARSENAL Pict
  6. Guardiola alilia michuano ya UEFA

    KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola amesema mafanikio makubwa kwa kikosi chake kwa msimu huu ni kufuzu kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao.

    PEP Pict
  7. Kompany, Kane waandika historia, Bayern ikitwaa  ubingwa Bundesliga

    Bayern Munich wametangazwa kuwa Mabingwa wa Bundesliga msimu huu baada ya Bayern Leverkusen ambao walikuwa mabingwa watetezi kushindwa kupata matokeo mazuri dhidi ya Freiburg katika mchezo...

    UBINGWA Pict
  8. KMC yamfuta kazi Ongala, mwenendo mbovu wa timu watajwa

    Timu ya KMC ya Kinondoni, Dar es Salaam imeamua kuachana na kocha wake, Kally Ongala kutokana na mwenendo usioridhisha wa timu hiyo katika Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu.

  9. Liverpool yamtaka Kevin  De Bruyne

    KIUNGO mchezeshaji wa Manchester City, Kevin De Bruyne amepata ofa ya kushtukiza ya kubaki kwenye Ligi Kuu England baada ya Liverpool kuhitaji huduma yake akakipige huko Anfield, imeelezwa.

    KDB Pict
  10. Antony hashikiki huko Real Betis

    GWIJI wa Hispania, Joaquin amepanga "kumteka" Antony ili kumzuia winga huyo kurudi Manchester United.

    ANTONY Pict
Previous

Page 103 of 866

Next