Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

204 results for OMARY MDOSE :

  1. PRIME Mpanzu anavyokwenda kuinogesha Simba

    WANASIMBA walikuwa wakisubiri kwa hamu kubwa sana usajili wa dirisha dogo ufunguliwe ili waanze kuona mavitu ya nyota wao mpya, Elie Mpanzu.

    Mpanzu Pict
  2. PRIME Msimlaumu mtu! Ramovic ahitaji majembe sita, hawa wako hatarini

    BAADA ya kufanyika tathimini ya washambuliaji wa Yanga kile walichokifanya msimu huu hadi sasa dirisha dogo limefunguliwa, ni wazi uamuzi unaokwenda kufanyika katika eneo hilo hautakuwa na lawama...

    Yanga Pict
  3. Alassane Diao arejea Azam na bao baada ya miezi tisa

    MSHAMBULIAJI wa Azam FC, Alassane Diao, amerejea kwenye kikosi hicho kwa kufunga bao baada ya kukosekana uwanjani kwa takribani miezi tisa.

  4. PRIME Yanga ina dakika 270 tu CAFCL

    YANGA imesaliwa na dakika 270 za kufa au kupona kama inataka kwenda robo fainali kutoka Kundi A ya Ligi ya Mabingwa Afrika, baada ya jana kuambulia pointi moja dakika za jioni baada ya mtokea...

    270 Pict
  5. Dube aikoa Yanga jioni, ikipata pointi moja ugenini

    BAO la dakika za jioni lililowekwa kimiani na mshambuliaji aliyetokea benchi, Prince Dube imeiokoa Yanga isife ugenini jijini Lubumbashi, DR Congo baada ya kulazimisha sare ya 1-1 dhidi ya...

  6. PRIME Usiku wa deni haukawii kukucha, weka kati tupimane ubavu!

    KAMA kuna kitu ambacho mashabiki na wapenzi wa Yanga wanaomba kwa leo ni kuona timu hiyo inazinduka na kupata ushindi ikiwa ugenini dhidi ya TP Mazembe ya DR Congo.

    Yanga Pict
  7. Kally Ongala apata pointi ya kwanza Ligi Kuu akiiongoza KMC

    KALLY Ongala ambaye ni Kocha Mkuu wa KMC, amefanikiwa kuiongoza timu hiyo kupata pointi moja katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mashujaa uliochezwa leo Desemba 12, 2024 kwenye Uwanja wa KMC...

  8. PRIME Kiapo cha mapambano Algeria 'NGUVU MOJA'

    Ili kukoleza mzuka wa kauli mbiu hiyo ni kwamba kila mwanasimba atakuwa anaomba dua njema kimyakimya kutaka kuona Simba ikitoka na ushindi mbele ya CS Constantine ya Algeria katika mechi hiyo ya...

    Simba Pict
  9. Usiku wa heshima kwa Yanga Algeria

    Ikifika saa 4 usiku leo, wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga watakuwa uwanjani kuvaana na MC Alger mchezo utakaochezwa Uwanja wa 5 July 1962.

  10. Ligi ya Mabingwa Afrika 2024: Wikiendi ya kufosi

    NI tukio la nadra. Timu mbili tena ambazo ni watani wa jadi kukutana nje ya nchi tena kwenye nchi moja zote kila moja ikipambana kusaka pointi za kimashindano. Haswa kwa Simba na Yanga.

    Afrika Pict
Previous

Page 11 of 21

Next