PRIME Yule refa wa Simba, Berkane kumbe ndo zake KILICHOTOKEA kwa mwamuzi wa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika baina ya Simba dhidi ya RS Berkane, Dahane Beida raia wa Mauritania, kinatajwa kuwa ni mwendelezo wa upepo mbaya...
Rais Mwinyi aibeba Simba, alipia gharama zote Amaan RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi, ametoa zawadi maalum kwa timu ya Simba kwa kugharamia matumizi ya Uwanja wa New Amaan Complex uliopo Unguja...
PRIME Sababu za mechi ya marudiano kupigwa Zenji TAARIFA mbaya kwa Simba ni Shirikisho la Soka Afrika (CAF), limeuondoa mechi ya marudiano ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba na RS Bekrane kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa hadi...
CAF yadaiwa kuiondoa Simba, Berkane Kwa Mkapa TAARIFA mbaya kwa Simba ni kwamba, Shirikisho la Soka Afrika (CAF), imedaiwa kuwa, limeuondoa mchezo wa fainali ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba na RS Bekrane kupigwa Uwanja...
PRIME Yanga yarusha kete kwa kocha Ahly YANGA inajiandaa kushuka uwanjani leo jioni kuvaana na Namungo ya Lindi, ikiwa ni mwendelezo wa mechi za Ligi Kuu Bara iliyoingia raundi ya 27, lakini ndani ya ofisi za mabosi wa klabu hiyo kuna...
Kompyuta yaiondoa Arsenal kwa PSG BAADA ya kupoteza mchezo wa mkondo wa kwanza wa mechi ya nusu fainali kwa bao 1-0 kwenye uwanja wao wa nyumbani wa Emirates dhidi ya PSG, Arsenal imetabiriwa kuwa na asilimia ndogo za kwenda...
Martha Mwaipaja, Angel Magoti kazi ipo JUMLA ya kazi 529 za wasanii wa muziki wa Injili zimepokewa na Waandaaji wa Tuzo za Muziki wa Injili nchini (TGMA), ili kuanza mchakato wa kupata wakali watakaotunukiwa heshima siku ya hafla ya...
PRIME Yaliyojificha sakata la kipa Fountain Gate Nyuma ya adhabu ya kusimamishwa kwa kipa John Noble wa Fountain Gate kuna sababu mbili kubwa ambazo zimefanya timu hiyo ambayo inatumia Uwanja wa Tanzanite Kwaraa Babati, Manyara kuchukua uamuzi...
Arteta aisukia mkakati maalum PSG KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta ameanza kazi ya kupanga namna atakavyoingia kwenye mchezo wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya PSG wiki ujao, ikiwamo kumtumia Leandro Trossard kama...
PRIME Azizi KI agonganisha Waarabu wa Morocco YANGA imekaa mkao wa kuvuna mamilioni ya kufuru kupitia kiungo mshambuliaji, Stephanie Aziz KI lakini huko Uarabuni kuna vita kubwa inapigwa kati ya klabu mbili.