Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

195 results for Kelvin Kagambo :

  1. Alichozingua Said Said ni kufanikiwa

    JUZI kati mchekeshaji Said Said alipata nafasi nyingine ya kuchekesha mbele ya kiongozi mkuu wa serikali ya Tanzania, Rais Samia Suluhu Hassan.

  2. TUONGEE KISHKAJI: Tumpandishe Dogo Pateni bila kumshusha Dogo Sajenti

    MSANII aliyetrendi kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii wiki hii anaitwa Dogo Pateni. Ni msanii wa singeli ambaye hata kama humfahamu, basi utakuwa unajua moja ya kazi zake maarufu.

  3. TUONGEE KISHKAJI: Harmonize hajawaelewa wanaosema ‘hajui kizungu’

    JUZI kati Harmonize kawaandikia mahaters wake bonge la barua kuhusu tabia ya kumwambia hajui Kiingereza. Kwenye barua hiyo Konde Boy ameng’aka maneno yanayofanana na ‘mtasema sana, mtaongea sana,...

  4. TUONGEE KISHKAJI: Jux kathibitisha biashara ya muziki sio kuimba tena

    UUMEONA jinsi juzi mitandao ya kijamii ilivyochafuliwa na harusi ya Jux iliyofanyika huko Nigeria? Sio Instagram, Tiktok, X wala Facebook.

  5. TUONGEE KISHKAJI: Mr Blue na historia isiyowezekana

    MAJUZI kati Mr Blue alikuwa anazunguka kwenye vyombo vya habari kuzungumzia jambo analotaka kulifanya mwezi huu wa nne; kuachia ngoma ishirini na mbili kwa mpigo kama sehemu ya kusheherekea miaka...

  6. TUONGEE KISHKAJI: Teknolojia ni laana na baraka kwa sanaa

    ZAMANI ilikuwa ili msanii wa muziki aweze angalau kurekodi wimbo, ni lazima apambene kufika studio za ‘majayanti’ kama kina P Funk au Master Jay. Na akifika hapo inabidi awahakikishie kwamba...

  7. TUONGEE KISHKAJI: Namba zinambeba Macvoice, Instagram inamuangusha

    KAMA humfahamu Hamisi Shabani a.k.a MacVoice naomba nikutambulishe; huyu ni msanii wa muziki wa Bongofleva kutoka Lebo ya Next Level Music ya Rayvanny. Alitambulishwa 2021 baada ya Rayvanny...

  8. TUONGEE KISHKAJI: Je, kolabo ya kimataifa ina maanisha nini?

    Miaka kadhaa nyuma nilikuwa nafanya ‘interview’ na msanii wa Bongo Fleva, Kassim Mganga. Ilikuwa ni kipindi ambacho wasanii wa Bongo walikuwa wamechachamaa kufanya kolabo na wasanii wa nje ya...

  9. TUONGEE KISHKAJI: Kina Nicole kujiita matajiri sio kuvimba, ila wapo kazini

    MUIGIZAJI Joyce Mbaga a.k.a Nicole Berry, alipandishwa kizimbani juzi kati na kusomewa mashtaka ya uhujumu uchumi.

  10. TUONGEE KISHKAJI: Master Jay hii ilikuwa na haja?

    JUZI kati prodyuza mkongwe wa muziki Tanzania, Master Jay alitikisa meza kwa kutoa maoni yanayoashiria kwamba msanii Bien wa Kenya ni bora zaidi ya Alikiba.

    KISHKAJI Pict
Previous

Page 2 of 20

Next